Sasa wewe mlamba matako ya huyo shetani mtu utajua wapi ufisadi wake wakati hata mlo wako unategemea kubinua matako yako!Acha utoto wa majukwaa ya kisiasa. Hapa tunajadili mambo serious ya nchi na kujenga akili. Nani aliyefilisiwa unayeweza kumsifu ni mtu mwaminifu. Ukizoea misheni tauni, kina kitu cha hovyo unaona ni halali yako.
Mkuu, acha basi kutudharau tunaoishi vijijini. Mimi niko huku Nkotokwiana, kijijini kabisa, afadhali Nanyamba ni ka center kakubwa, lakini nawajua wakenya, zamani sisi tukiwa wadogo tunacheza chipukizi walikuwa wanaitwa nyang'au.Wewe huwajui Wakenya mkuu, nazani uko huko Nanyamba mtwara huwajui,
alisema tutamkumbukaKwa kumbukumbu zangu Mwendazake hakuwahi kuchukia wala kuwakataa wawekezaji; nakumbuka aliwahi kuwaambia watu wa Mazingira kwamba wanapaswa kufanya uchambuzi wa kimazigira wakati tiyari mwekezaji anaendelea na kazi.
Mwendazake aliwachukia wawekezaji wajanja ambao nazani ndo wengi sana nchi hii.
Hawa hawa tunaoenda kuwapigia magoti wengi ni wajanja janja sana tena mno.
Fikiria Shule ya English Medium ya mwekezaji wa Kikenya inakuwa hadi na Mwalimu wa somo la Kiswahili kutoka Kenya.
Kuna International school pia iko Arusha sitaitaja jina nilichoka kukuta Mwalimu wa somo la Kiswahili ni Mkenya asieee fikiia hapa.
Hawa ndo mwendazake alikuwa anawachukia sana, na ndo mama anataka kuwakumbatia.
Ila kwa kumbukumbu zangu Magufuli hakuwahi kukataa wawekezaji bali wawekezaji wajanja.
Kwani shida ipo wapi mwalimu wa kiswahili akiwa mkenya? Iwapo km anajua anachofundisha!?Kwa kumbukumbu zangu Mwendazake hakuwahi kuchukia wala kuwakataa wawekezaji; nakumbuka aliwahi kuwaambia watu wa Mazingira kwamba wanapaswa kufanya uchambuzi wa kimazigira wakati tiyari mwekezaji anaendelea na kazi.
Mwendazake aliwachukia wawekezaji wajanja ambao nazani ndo wengi sana nchi hii.
Hawa hawa tunaoenda kuwapigia magoti wengi ni wajanja janja sana tena mno.
Fikiria Shule ya English Medium ya mwekezaji wa Kikenya inakuwa hadi na Mwalimu wa somo la Kiswahili kutoka Kenya.
Kuna International school pia iko Arusha sitaitaja jina nilichoka kukuta Mwalimu wa somo la Kiswahili ni Mkenya asieee fikiia hapa.
Hawa ndo mwendazake alikuwa anawachukia sana, na ndo mama anataka kuwakumbatia.
Ila kwa kumbukumbu zangu Magufuli hakuwahi kukataa wawekezaji bali wawekezaji wajanja.
Km ana vigezo na sheria inaruhusu kwanini asiajiriwe?Unawezaje ukaruhusu walimu wa Kenya nchini wakati tuna maelfu wa wahitimu wa Kitanzania wanaotaka hizo ajira?
Hizi ndizo akili za wanachama wa chama cha mbowe!
Km watu wako sio competent shida ipo wapi ukimtafuta mtu wa nje wa kuweza kufanya kazi kwa ufasaha?Kuandika tu huwezi, halafu unataka kujitia mchambuzi wa hoja!?
Maneno meeengiii, ujinga mtupu!
Ajira zote zinazingatia nguvu-kazi-watu ya ndani.
Usitake kulisha watu ujinga hapa!
Yaani uache kuajiri watu wako, ukimbilie kuajiri wakenya?
Stupid baboon!
Walimu wa kitanzania hawajitambui wameathirika na incompetent culture ya kitanzaniaKwa kuangalia jinsi uwekezaji katika shule za English medium has a mikoa ya Ars, K'njaro na Manyara, ni kweli kabisa naungana na hoja hii maana nimeshuhudia kwa macho yangu. Brother yangu mm alikuwa Meneger was shule ya mwekeza mama mmoja kutoka Australia, hii shule hadi Leo IPO maeneo ya USA-RIVER jirani kabisa na hotel ya Ngurdoto. Sikh nilipopata nafasi ya kumtembelea nilishangaa sana kukuta staff yenye walimu 60 wakenye ni wengi kuliko watanzania. Wakati Luna shule nyingine za namna hiyohiyo zikiwa na walimu watanzania lkn bado zina ufanisi sawia. Hili suala LA hawa wakenya lazima tuwe makini sana
Mbona iko wazi kabisa. Jpm alikua muomini wa uwekezaji sio wababaishaji. Wababaishaji ndio waliyokua wanadai hakua rafiki na wawekezaji au wafanya biashara. Uwekezaji ni kuwekeza fedha zako kuanzisha mradi wenye tija na maendeleo ya taifa. Mtu kama simon group wababaishaji wenye kutaka kukwapua shirika la umma na kuliendesha kwa gharama ya serikali ndio walikua hawatakiwi na jpm. Watu kama wale wakuu wa tanzania sisal authority waliyopora shika wakijidai wamelinunua ndio jpm hawataki. Na wababaishaji kwenye uwekezaji ni miongoni waliyomchukia sana jpm.Kwa kumbukumbu zangu Mwendazake hakuwahi kuchukia wala kuwakataa wawekezaji; nakumbuka aliwahi kuwaambia watu wa Mazingira kwamba wanapaswa kufanya uchambuzi wa kimazigira wakati tiyari mwekezaji anaendelea na kazi.
Mwendazake aliwachukia wawekezaji wajanja ambao nazani ndo wengi sana nchi hii.
Hawa hawa tunaoenda kuwapigia magoti wengi ni wajanja janja sana tena mno.
Fikiria Shule ya English Medium ya mwekezaji wa Kikenya inakuwa hadi na Mwalimu wa somo la Kiswahili kutoka Kenya.
Kuna International school pia iko Arusha sitaitaja jina nilichoka kukuta Mwalimu wa somo la Kiswahili ni Mkenya asieee fikiia hapa.
Hawa ndo mwendazake alikuwa anawachukia sana, na ndo mama anataka kuwakumbatia.
Ila kwa kumbukumbu zangu Magufuli hakuwahi kukataa wawekezaji bali wawekezaji wajanja.
Nyie kaeni kushangilia. Mmegubikwa na chuki binafsi kwa hayati Magufuli. Mtakapoamka mtakuta ardhi na biashara zote imechukuliwa na Wakenya. Baadaye mtakuwa vibarua wa Wakenya. Hapo ndiyo mtakapomkumbuka uncle Magu.Kuiba pesa za wafanyabiashara kwa nguvu na kutumia mtutu wa Bunduki,au kubambikia watu kesi za kuhujumu uchumi,ndio kupenda wawekezaji?Rejea hotuba ya Mhe Raisi siku anahutubia Ikulu,alitoa kisa kimoja alichokishuhudia kama Makamu wa Raisi.
Sasa kama Makamu wa Raisi alifika pointi,akashindwa,ndio ujue Jiwe alikuwa mwizi tu,wafanyabiashara aliowapenda ni wale shemeji zake wa Mayanga Co ltd.
Wewe ni Mkenya, unajifagilia. Tangu lini mkenya akajuwa Kiswahili fasaha!Inawezekana pia hujui.
Kenya au wakenya wanaongea kiswahili fasaha kuliko sisi.Kwa lugha nyingine Wakenya wanafaa katika somo lakiswahili.
Leo hii ukiweka mtihani wakiswahili Kati ya mwanafunzi wa Kenya na Tanzania.
Mkenya anapata maksi nyingi kuliko Mtanzania.
You have no confidence in yourself.Watanzania wanaotazama masuala kwa umakini ni wachache. Wengi wetu tunasukumwa na ushabiki yaani "Bendera fuata upepo". Ndio shida yetu kubwa.
Alikudanganya nani kuwa Mombasa/Malindi ndiyo chimbuko la KIswahili. Soma historia. Bukua kuhusu Kilwa, baadaye nenda Zenj alafu urudi humu kueleza.Jamaa hata hajui kuwa chimbuko la kiswahili ni Mombasa/malindi ambazo ziko Kenya
Kumbe misukule ya mange hadi huku imo😅,!Mfu shetani mtu Magufuli alikuwa anataka mwekezaji atakayekubali kufanya naye ufisadi vinginevyo anakufilisi na kukufungulia kesi ya kutakatisha fedha na uhujumu uchumi!
Na ndio vilaza wamejazana humu wakitetea ujinga tu wakati hawana uwezo wa kushindana na wakenyankwenye soko la ajira.Ukifanya interview kishindani na kihalali kabisa kwenye soko la ajira wakenya wengi wako vizuri kulinganisha na watanzania. Tanzania ikithubutu kufungua milango ya labour force kutoka nchi nyingine za East Africa, watanzania wengi hawawezi kushindana na wakenya.
BNaona muungano wa Wakikuyu na MboweWewe ni Mkenya, unajifagilia. Tangu lini mkenya akajuwa Kiswahili fasaha!
Nchi zote duniani zinatetea wanachi wake kwanza na pale ambapo hamuwezi ndiyo mnaazima toka nje. Sasa wewe ajabu huoni shida kazi ambazo WaTZ wanaweza kuchukuliwa na wageni. Sijui wewe nio mtu wa namna gani? Mimi naogopa muungano wa WAKIKUYU na MBOWE, sijui nchi itabaki salama. Naona wafuasi wa Mbowe wanawashobokea Wakikuyu. MTAJAJUTA.Kwani shida ipo wapi mwalimu wa kiswahili akiwa mkenya? Iwapo km anajua anachofundisha!?
Si kweliKwa kumbukumbu zangu Mwendazake hakuwahi kuchukia wala kuwakataa wawekezaji; nakumbuka aliwahi kuwaambia watu wa Mazingira kwamba wanapaswa kufanya uchambuzi wa kimazigira wakati tiyari mwekezaji anaendelea na kazi.
Mwendazake aliwachukia wawekezaji wajanja ambao nazani ndo wengi sana nchi hii.
Hawa hawa tunaoenda kuwapigia magoti wengi ni wajanja janja sana tena mno.
Fikiria Shule ya English Medium ya mwekezaji wa Kikenya inakuwa hadi na Mwalimu wa somo la Kiswahili kutoka Kenya.
Kuna International school pia iko Arusha sitaitaja jina nilichoka kukuta Mwalimu wa somo la Kiswahili ni Mkenya asieee fikiia hapa.
Hawa ndo mwendazake alikuwa anawachukia sana, na ndo mama anataka kuwakumbatia.
Ila kwa kumbukumbu zangu Magufuli hakuwahi kukataa wawekezaji bali wawekezaji wajanja.
MO ni mfanyabiashara, Azam ni wafanyabiashara!! Mbona hao hajawachukia???, Tatizo la wafanyabiashara wengi wa kibongo walikuwa wanacheza madili ya upigaji na wafànyakazi wa serikali. Na kwa bahati mbaya zaidi walikuwa wanatumia hayo makampuni yao! Bila kujuwa kuwa yule mfanyakazi wa serikali kesho hatakuwepo hapo! na serikali itafuata document zenu na serikali. Kuwa kama mzee mengi ( RIP) kampuni yako haitasumbuliwa hata kidogo. Lipa kodi acha janja janja. Mara nguzo za tanesco zizalishwe iringa, kesho useme eti zinazalishwa south.Kuiba pesa za wafanyabiashara kwa nguvu na kutumia mtutu wa Bunduki,au kubambikia watu kesi za kuhujumu uchumi,ndio kupenda wawekezaji?Rejea hotuba ya Mhe Raisi siku anahutubia Ikulu,alitoa kisa kimoja alichokishuhudia kama Makamu wa Raisi.
Sasa kama Makamu wa Raisi alifika pointi,akashindwa,ndio ujue Jiwe alikuwa mwizi tu,wafanyabiashara aliowapenda ni wale shemeji zake wa Mayanga Co ltd.
Marehemu hakujua hata A kwenye uchumi. Alikuwa anaiburuza nchi, alimradi wapo wajinga wa kushangilia chochote.Je Dangote ni muwekezaji mjanja mjanja?mbona na yeye alitaka kufungasha vilango?alifikia kipindi akasema hadharani kuwa hii nchi hata haieleweki leo anakuja huyu, anatoa maelekezo haya, unayafanya kesho anakuja mwingine tena anakwambia mengine, hata unashindwa ufuate lipi uache lipi?!!na yeye kosa lake kubwa lilikuwa kudai apelekewe gesi kama walivyokubaliana wakati wa kutiliana mkataba, wakamwambia asinunue makaa ya mawe toka Afrika kusini, haya akakubali basi akaanza kuagiza hayo makaa ya mawe toka mto chuma, na liganga akiagiza tani 2000, wanamletea tani 200!!kuwa ndio iliyopatikana tena baada ya muda mrefu!!huwezi ukamlazimisha muwekezaji anunue malighafi nchini wakati hazipatikani kwa kiwango kinachohitajika.shirika la ndege la fastjet nini kililikuta akafikiria kuwafukuza ndio atafanya biashara kirahisi,?
Miaka mitatu iliyopita, mwanafunzi aliyefanya vizuri kuliko wote kwenye somo la Kiswahili, alikuwa mchina.Inawezekana pia hujui.
Kenya au wakenya wanaongea kiswahili fasaha kuliko sisi.Kwa lugha nyingine Wakenya wanafaa katika somo lakiswahili.
Leo hii ukiweka mtihani wakiswahili Kati ya mwanafunzi wa Kenya na Tanzania.
Mkenya anapata maksi nyingi kuliko Mtanzania.