Kama nilivyoandika juu kwenye title wana jamvi.
Najua wengi tumepita kwenye hii kuchart kwenye simu mnaitana chumbani Mara unasema uko mlangoni njoo fungua milolongo mingi.
Je, hii namna inatumiwa na vijana walioanza kutumia simu au ata wale manguli wa simu wanaitumia hii?
Toa maoni yako mwana jamvi.
Najua wengi tumepita kwenye hii kuchart kwenye simu mnaitana chumbani Mara unasema uko mlangoni njoo fungua milolongo mingi.
Je, hii namna inatumiwa na vijana walioanza kutumia simu au ata wale manguli wa simu wanaitumia hii?
Toa maoni yako mwana jamvi.