merick david
Member
- Jul 19, 2011
- 17
- 10
Eti kuna habari kwamba watu wakiishi katika mahusiano ya kimapenzi muda mrefu sana huanza kufanana katika mambo mbalimbali kam vile sura na tabia je ni kweli au uzushi?. karibuni sana wanajamii tujadili ili tupate ukweli
Tofautisha kufanana na kuigana, mlichofanya wewe na Gozi lako ni kuigana vijitabia vyenu katu hamuwezi kufanana.Ni kweli kabisa, hususan namna ya kuongea, namna ya kuji express, namna ya kusikiliza, namna ya kukaripia, na tabia nyingi tu hufanana. Talking from experience, ni mara kadhaa watu wameni-confuse kuwa ni ndugu na Gozi langu, hatuhusiani ndee wala sikio, tuna miaka 30 pamoja!
Tofautisha kufanana na kuigana, mlichofanya wewe na Gozi lako ni kuigana vijitabia vyenu katu hamuwezi kufanana.
Ni kweli kabisa, hususan namna ya kuongea, namna ya kuji express, namna ya kusikiliza, namna ya kukaripia, na tabia nyingi tu hufanana. Talking from experience, ni mara kadhaa watu wameni-confuse kuwa ni ndugu na Gozi langu, hatuhusiani ndee wala sikio, tuna miaka 30 pamoja!
Duh kumbe wee ni kijeba namna hiyo??? Ndio maana mara zote mada zako unazochangia ni za upogoupogo tu. Kumbe ni kibibi????? Sikamooo bibi!!!!!!!!!!!
Kweli ndugu halia ubishi ktk tabia ila sura mh uhakika sina
Mbona kiranja wa mawaziri wetu kakiuka hili?Eti kuna habari kwamba watu wakiishi katika mahusiano ya kimapenzi muda mrefu sana huanza kufanana katika mambo mbalimbali kam vile sura na tabia je ni kweli au uzushi?. karibuni sana wanajamii tujadili ili tupate ukweli