Je hii inawezekana Bongo?

Je hii inawezekana Bongo?

LadySwa

Member
Joined
Jan 25, 2009
Posts
77
Reaction score
6
Wajameni ninakabanda kangu Bongo je kuna uwezekano wa kuweka Water gutters ili nisinunue hata maji ya vyoo. Inaweza ikanighalimu sh ngapi pamoja na
ufundi.La pili je? Sola kwa taa ,Tv,na Friji je inaweza kuwa madafu mangapi.?
 
LadySwa swali lako ni very technical, nipe yr contact for advice,kama uko dar!
 
kwenye swala la gutters inawezekana sana. unanunua gutter na pipe zake pia unajenga kisima cha kuhifadhi hayo maji. sina uhakika wa bei ila gutter 1 ya urefu wa 6meter ni around sh 85,000/= bei ya mwaka jana nabaki afrika
 
Back
Top Bottom