#COVID19 Je, hii ni Covid 19 wimbi la 3 au 4?

#COVID19 Je, hii ni Covid 19 wimbi la 3 au 4?

SOPINTO

Senior Member
Joined
Oct 19, 2020
Posts
155
Reaction score
387
Wakati serikali ikiandaa kamati maalum ya kushughulikia gonjwa la Covid 19, naomba kuuliza hivi hii Covid 19 iliyopo India kwa sasa ndio hiyo ya awamu ya Nne au bado hii ya awamu ya tatu?

Maana India Jamani hali ni mbaya sana sana mpaka umoja wa mataifa umetoa tamko rasmi la kuingalia India kwa jicho la umoja, mbaya zaidi inapiga mpaka watoto, vijana ambao huku Tanzania tunawaita watoto ni carrier, sasa huko India hakuna cha Carrier wala mzee inapiga popote ulipo, maiti zimejaa mtaani mpaka basi. Hatari jamani
 
Duh, inasikitisha sana, tuendelee kumuomba Mungu atuepushie hili balaa.
 
india.jpg
 
Wakati serikali ikiandaa kamati maalum ya kushughulikia gonjwa la Covid 19 , naomba kuuliza hivi hii Covid 19 iliyopo India kwa sasa ndio hiyo ya awamu ya Nne au bado ihii ya awamu ya tatu? mana India Jamani hali ni mbaya sana sana mpaka umoja wa mataifa umetoa tamko rasmi la kuingalia India kwa jicho la umoja , mbaya zaidi inapiga mpaka watoto , vijana ambao huku Tanzania tunawaita watoto ni carrier , sasa huko India hakuna cha Carrier wala mzee inapiga popote ulipo... maiti zimejaa mtaani mpaka basi..... hatari jamani
Tuendelee kuchukua tahadhari. Mlinzi wa afya yako ni wewe mwenyewe. "Don't be careless!!"
 
Kuna video kabisa.
Maiti zimetolewa figo moyo mapafu ubongo nk.ndugu walianza kutilia mashaka sababu walikuwa hawapewi ndugu zao Wawa zike
Tunza maneno mkuu. Acha mambo ya vijiweni
 
Usibishe vitu kama hauna uhakika navyo.
Usijione Una AKILI Sanaa uliza
kuna

kuna watu humu JF wanafanya mzaa kwa jambo la makini ... yanii hopeless wapo wengi sana humu jamii forum
 
Wakati serikali ikiandaa kamati maalum ya kushughulikia gonjwa la Covid 19 , naomba kuuliza hivi hii Covid 19 iliyopo India kwa sasa ndio hiyo ya awamu ya Nne au bado hii ya awamu ya tatu? Maana India Jamani hali ni mbaya sana sana mpaka umoja wa mataifa umetoa tamko rasmi la kuingalia India kwa jicho la umoja, mbaya zaidi inapiga mpaka watoto, vijana ambao huku Tanzania tunawaita watoto ni carrier, sasa huko India hakuna cha Carrier wala mzee inapiga popote ulipo... maiti zimejaa mtaani mpaka basi..... hatari jamani
Na India ilivyokuwa nchi ya viungo (spices) ambavyo mtu mmoja aliyepigwa hivi majuzi alidai ndio dawa ya corona sijui itakuwaje ikiingia hapa ile supu ya vitunguu itafaa kweli?
 
Madhara ya mikudanyiko isiyo na lazima kama mechi ya Cricket [emoji967] walienda watazamaji wengi sana wakati covid iko kwenye pick

Halafu ikaja ile Hija yao ya kuoga kwenye Mto Ganges ambapo mamilioni ya watu walikutana tena na Covid ndio inapenda mkusanyiko ili iondoke na wengi

Kama ibada nyingi duniani zilifungwa wao wakaona kuoga kwenye mto kwa ajili ya kuabudu basi hayo ndio matokeo yake

Ikimbukwe kuwa wao pia ni wachafu sana kwa hiyo suala la usafi walikataa zamani
Bora hata sisi tulizingatia maji tiririka na wengine tunanawa kwa siku zaidi ya mara tano
Pole yao
 
Hii viral mutation si mchezo aiseee inabid tujipange mapema kama nchi kwa ajili ya tahadhari...
 
Hapo ndo Rais afikirie mara mbili juu ya chanjo, maana India wanatengeneza chanjo na wamechanjwa matokeo ndo haya.
mama tunaomba sana tuache tuendelee kumtegemea Mungu kama ambavyo tumefanya tangu janga hili kuikumba dunia.
maana ukiingia tu mtego wa jamaa wa Magharibi na ikaleta mlipuko,utalaumiwa sana.
Maana ukikubali tu chanjo watataka utangaze Visa,watakuambia visa vimeongezeka mno fanya lockdown, hapo ndo kazi itakapokuwa ngumu sana.
Mungu akuongeze maana upo upande unataka kuchochea ubadilishe kila alilokuwa akifanya mtangulizi wako ili ukosee wapate ajenda ya 2025.
kumbuka we ni rais wa Watanzania usiumize kichwa namna ya kuwafurahishi mabeberu bali uwaze zaidi namna ya kuwalinda watu wako bila copy and paste toka kwa wazungu,maana janga hili kiuhalisia wao limewashinda,maana ni zaidi ya mwaka wamejifungia ila sisi tuko huru.
 
Back
Top Bottom