Je, hii ni kweli kuhusu kitovu cha mtoto mchanga?

Mwanamke anafiwa na kila mwanaume anayemuowa... hawezi kufa hakiwa na mumewe..

Mhhhhh mapya haya.
Kwahiyo Lulu atakuwa alidondokewa na kitovu nini?
Hizi mila za mababu zetu bwana?
 
Ukiamua kuwaaminisha watu hata ujinga wataamini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…