Mwanamke anafiwa na kila mwanaume anayemuowa... hawezi kufa hakiwa na mumewe..
Kwa wanaume nasikia wanakuwa kama yule wa Uganda aliyeolewa juzikati,mwanamke anakuwa kikojozi.
Hii ni kitaa zaidi,sijui kitaalam.
Mhhhhh mapya haya.
Kwahiyo Lulu atakuwa alidondokewa na kitovu nini?
Hizi mila za mababu zetu bwana?
Pole sana mkuu
Upuuzi tu huo, lete research data iliofanyika.
kweli mkuu,tena mtangazaji alikuwa aloysia maneno,fundi mitambo jina limenitoka kidogoNimecheka sn eti sos TBC Na wazee was chamwino
Mmmmmmmmm
Mwanamke anafiwa na kila mwanaume anayemuowa... hawezi kufa hakiwa na mumewe..
Zilikuwa mila za kuendeleza uzinifu tu mbona mm nimeshuhudia kimeangukia lkn mtoto anasimamisha balaa
Ukiamua kuwaaminisha watu hata ujinga wataamini
Elimu elimu elimu.....
kweli mkuu,tena mtangazaji alikuwa aloysia maneno,fundi mitambo jina limenitoka kidogo
Uongo hakuna scientific proof
Aisee hii kwa uswahilini ni kweli huwa tunasikia maneno haya ila kitaalamu sijui wanasemaje kwa kweli,ila dah! pata yote maishani ila usipate ndugu shoga.
Upuuzi tu huo, lete research data iliofanyika.