Je, hii ni ndoto ya kawaida?

Je, hii ni ndoto ya kawaida?

baharia 1

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2019
Posts
1,580
Reaction score
1,773
Msaada

Ndotoni [emoji116]

Maeneo ya huku ninapokaa kuna makaburi nayafahamu upande wa kushoto ya Kiislam na upande wa kulia ya Kikristo katikati ninjia watu tunapita pkpk na magari pia.

Sasa wakati napita njia naelekea mishe zangu ghafla upande wa kushoto makaburi ya Kiislamu nikaona kaburi ambalo ni jipya kabisa juu yake kuna paka amekaa.

Sasa nilivyokuwa natembea yule paka akawa ananiangalia amenikazia macho mimi. Ghafla nilipokuwa naenda nikaghairi nikageuza nikawa naludi nilipotoka, sasa yule paka akawa ananiangalia macho yake yakaanza kuwaka mwanga mkali mpaka nikawa naumia macho, yani mwanga mkali sana.

Naomba mwenye kuielewa hii ndoto.

Asanten
 
Pole sana mkuu, jitahidi kuswali au kusali maana roho wa mauti anakuandama tena yuko kazi omba na kukemea hilo jambo ili kuiahirisha roho ya mauti, mauti yanayokunyemelea ni ya nguvu za Giza kuna mtu nakuwangia na kutaka kukuua, hivyo Fanya lolote ili kuiinua nguvu yako ya ulinzi
 
Ndoto ni matukio yanayojirudia kutokana na yale tunayofanya mchana au kufikiria sana. Nikuondoe hofu ni kwakua unapita hapo mara kwa mara ndio maana umeota, ni mara chache sana kuota sehemu ambayo hujawahifika na ukaja kufika hapo ambapo tunaita (maono).

Lazima utaota hivyo kwa sababu kwenye vichwa vyetu kuna notion ya kuwa makaburi yanahusika na ushirikina na utakuwa unakua na hofu wakati wa kupita hapo.

Ref: Sigmund Freud about dreams
 
Kuna mtu anahitaji kustiriwa nawe yuko kwenye shida kubwa ya kiutu waweza kuwa humjui ila anakufuatilia, kwa msaada ila amemsimulia mtu sasa huyo mtu hataki apate msaada kwako.AMEAMUA KUKUFUATILIA NYENDO ZAKO ZOTE, ANAAMINI UTAMSAIDIA.mwangaza huashiria uwezo wako wa kutatua shida hiyo.
 
Kuna mtu anahitaji kustiriwa nawe yuko kwenye shida kubwa ya kiutu waweza kuwa humjui ila anakufuatilia, kwa msaada ila amemsimulia mtu sasa huyo mtu hataki apate msaada kwako.AMEAMUA KUKUFUATILIA NYENDO ZAKO ZOTE, ANAAMINI UTAMSAIDIA.mwangaza huashiria uwezo wako wa kutatua shida hiyo.
Duh na paka jee ?
 
Paka hutafsirika kama mtu anaetumwa kwa ubaya au mchawi.paka wako ni mtu mbaya anaefuatilia utafanya nini kwa mtu huyo.Anakufuatilia kwa ukaribu sana.
Okh mkuu asante
 
Pole sana mkuu, jitahidi kuswali au kusali maana roho wa mauti anakuandama tena yuko kazi omba na kukemea hilo jambo ili kuiahirisha roho ya mauti, mauti yanayokunyemelea ni ya nguvu za Giza kuna mtu nakuwangia na kutaka kukuua, hivyo Fanya lolote ili kuiinua nguvu yako ya ulinzi
ww huna uwezo wa kutafsiri ndoto
 
Msaada

Ndotoni [emoji116]

Maeneo ya huku ninapokaa kuna makaburi nayafahamu upande wa kushoto ya Kiislam na upande wa kulia ya Kikristo katikati ninjia watu tunapita pkpk na magari pia.

Sasa wakati napita njia naelekea mishe zangu ghafla upande wa kushoto makaburi ya Kiislamu nikaona kaburi ambalo ni jipya kabisa juu yake kuna paka amekaa.

Sasa nilivyokuwa natembea yule paka akawa ananiangalia amenikazia macho mimi. Ghafla nilipokuwa naenda nikaghairi nikageuza nikawa naludi nilipotoka, sasa yule paka akawa ananiangalia macho yake yakaanza kuwaka mwanga mkali mpaka nikawa naumia macho, yani mwanga mkali sana.

Naomba mwenye kuielewa hii ndoto.

Asanten
Ndio ni ndoto ya kawaida
 
Msaada

Ndotoni [emoji116]

Maeneo ya huku ninapokaa kuna makaburi nayafahamu upande wa kushoto ya Kiislam na upande wa kulia ya Kikristo katikati ninjia watu tunapita pkpk na magari pia.

Sasa wakati napita njia naelekea mishe zangu ghafla upande wa kushoto makaburi ya Kiislamu nikaona kaburi ambalo ni jipya kabisa juu yake kuna paka amekaa.

Sasa nilivyokuwa natembea yule paka akawa ananiangalia amenikazia macho mimi. Ghafla nilipokuwa naenda nikaghairi nikageuza nikawa naludi nilipotoka, sasa yule paka akawa ananiangalia macho yake yakaanza kuwaka mwanga mkali mpaka nikawa naumia macho, yani mwanga mkali sana.

Naomba mwenye kuielewa hii ndoto.

Asanten
Kuna ndoto na maono, hujaota, umepata maono. Kaa tayari kwa makambano
 
Back
Top Bottom