Ndugu zangu wanaJF Mimi ni Mwanaume almost 21 years ila tokea nijifahamu Nimekuwa na Kilo 56 yaani toka nikiwa na miaka 16 mpaka sasa nina miaka hiyo kilo zangu ni Hizo na siumwi chochote am very Fine Je Hii ni sawa? kwa mtu wa umri kama wangu Kuwa na Kilo kama Hizo?
Nipeni idea zenu wanandugu!
Ahsanteni
kilo 56 kwa umri wa miaka yako inawezekana. hapo tatizo labda iwe una umno tofauti na umri wako, bado hujaeleza umbo lako, ikiwezekana piga picha kabisa mkuu uitupie hapa
kilo 56 kwa umri wa miaka yako inawezekana. hapo tatizo labda iwe una umno tofauti na umri wako, bado hujaeleza umbo lako, ikiwezekana piga picha kabisa mkuu uitupie hapa
Kajaribu kupima BMI uangalie kama uko sawa kimwili..Ingia hata google andika BMI calculator ...utajaza uzito wako na kimo chako utaona majibu kama ni sawa uko Overweight ,Normal au underweight
Kama alivyokwambia mkuu hapo juu uzito pekee si rahisi kukushauri kama uko poa au la Pima na urefu kisha weka hapa tutakwambia kama ni saw a au laa! Au ingia Google Fanya kama ulivyoelekezwa post no 9
Kajaribu kupima BMI uangalie kama uko sawa kimwili..Ingia hata google andika BMI calculator ...utajaza uzito wako na kimo chako utaona majibu kama ni sawa uko Overweight ,Normal au underweight