kadyuwegeyeson
Member
- Jul 19, 2018
- 35
- 48
Ndio maana siku hizi atm zinatoa kadi kabla ya fedha maana zamani ilikuwa inatangulia pesa kabla ya kadi, watu wakiona pesa wanabeba wanasahau kadi[emoji23][emoji23][emoji23]Pole sana mkuu, saaatel nadhan na zantel zamani ndio walikuwa wanatoa huduma ya CDMA, kwa sasa sina hakika labda ukajaribu tccl.
Wabongo tukiona pesa na bei ndogo tunachanganyikiwa.
Ndio maana siku hizi atm zinatoa kadi kabla ya fedha maana zamani ilikuwa inatangulia pesa kabla ya kadi, watu wakiona pesa wanabeba wanasahau kadi.
Nimecheka sana hapo π€£π€£π€£Ndio maana siku hizi atm zinatoa kadi kabla ya fedha maana zamani ilikuwa inatangulia pesa kabla ya kadi, watu wakiona pesa wanabeba wanasahau kadi[emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio maana siku hizi atm zinatoa kadi kabla ya fedha maana zamani ilikuwa inatangulia pesa kabla ya kadi, watu wakiona pesa wanabeba wanasahau kadi.
Lipia kutoa lock itafanya kazi kwenye lte (4G), kwenye 3G (cdma) ndio inaweza isifanye kazi ikiwa ni hardlock, otherwise low end kama hizi hata 3g ya kwetu (GSM) inaweza fanya kazi.Jamani habari ndugu?
Nimenunua simu Amazon nikakimbilia bei nimekuja kungudua shinda wakati ikiwa imekwisha tumwa kuwa hii simu niyakampuni ya total wireless je, kwa hapa bongo inaweza kusoma laini za huku?
View attachment 2106849
Watu gani wanaoweza kutoa hizi chief?Lipia kutoa lock itafanya kazi kwenye lte (4G), kwenye 3G (cdma) ndio inaweza isifanye kazi ikiwa ni hardlock, otherwise low end kama hizi hata 3g ya kwetu (GSM) inaweza fanya kazi.
Pole sana mkuu, saaatel nadhan na zantel zamani ndio walikuwa wanatoa huduma ya CDMA, kwa sasa sina hakika labda ukajaribu tccl.
Wabongo tukiona pesa na bei ndogo tunachanganyikiwa.
Ndio maana siku hizi atm zinatoa kadi kabla ya fedha maana zamani ilikuwa inatangulia pesa kabla ya kadi, watu wakiona pesa wanabeba wanasahau kadi.
Mtandao wa simu husika huko Marekani, kuna sheria huko simu lazima kuwa unlocked, ila unaweza hitajika kulipia zaidi ama kusubiria kwa muda fulani.Watu gani wanaoweza kutoa hizi chief?
Hahahaha. Umetish we raiaPole sana mkuu, saaatel nadhan na zantel zamani ndio walikuwa wanatoa huduma ya CDMA, kwa sasa sina hakika labda ukajaribu tccl.
Wabongo tukiona pesa na bei ndogo tunachanganyikiwa.
Ndio maana siku hizi atm zinatoa kadi kabla ya fedha maana zamani ilikuwa inatangulia pesa kabla ya kadi, watu wakiona pesa wanabeba wanasahau kadi.
πππPole sana mkuu, saaatel nadhan na zantel zamani ndio walikuwa wanatoa huduma ya CDMA, kwa sasa sina hakika labda ukajaribu tccl.
Wabongo tukiona pesa na bei ndogo tunachanganyikiwa.
Ndio maana siku hizi atm zinatoa kadi kabla ya fedha maana zamani ilikuwa inatangulia pesa kabla ya kadi, watu wakiona pesa wanabeba wanasahau kadi.
Kuna rafiki yangu mmoja anayo ina shida ya namna hiyo, huwa mpaka tumwashie hotspotMtandao wa simu husika huko Marekani, kuna sheria huko simu lazima kuwa unlocked, ila unaweza hitajika kulipia zaidi ama kusubiria kwa muda fulani.
Alternative ni hizi box za mafundi simu zipo zinazotoa lock.
Alternative nyengine ni remote unlock, fundi ambaye hayupo Tanzania anakusaidia kutoa lock.
Amewahi kupeleka kwa mafundi wanaotoa lock?Kuna rafiki yangu mmoja anayo ina shida ya namna hiyo, huwa mpaka tumwashie hotspot