ANT - NYONDENYONDE
Senior Member
- Jul 29, 2024
- 154
- 173
Tsh. Milioni 5.3 sio pesa ndogo, hiki ni kielelezo cha mapenzi makubwa kwa Lissu walionayo chama Cha Mapinduzi.
Je 2025 akiwashinda watampisha kiti?
Au CCM wamenusa harufu ya kushindwa na Lissu wameanza kutengeneza Urafiki bandika kwake?
Pia soma: Lissu na CHADEMA wasikubali kejeli, dhihaka na dharau za kuchangiwa na CCM
Je 2025 akiwashinda watampisha kiti?
Au CCM wamenusa harufu ya kushindwa na Lissu wameanza kutengeneza Urafiki bandika kwake?