Je ! hiki ndicho anachokitafuta US wakati anawapiga ISIS ?

Je ! hiki ndicho anachokitafuta US wakati anawapiga ISIS ?

mngony

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2012
Posts
5,555
Reaction score
6,972
Kuna makala niliisoma sehemu inadai hii ni conspiracy, Assad anatafutwa. Baada ya mwanzo kutaka kuingia moja kwa moja kwa Assad, maswahiba wa Assad wakiongozwa na Urusi( na china pia) walikomaa ila kulinda maslahi yao huko Syria. sasa Urusi nashughulishwa na Ukraine, China na Hong Kong ( Taiwan vipi nao???).

Je! ndio wakati muafaka wa ndugu Obama kufanya yake? kuna Chembe chembe yeyote ya ukweli? hawa ISIS imekuaje kuaje wameingia Syria. hawa si ndio waliopigana na Gaddafi? wakijulikana kama Alqaeda? na wakawa backed na US na wakapewa silaha kupigana dhidi ya utawala Libya? je ni haya yote ni bahati mbaya au? wajuzi naomba kujuzwa.
 

Attachments

  • editoon2.jpg
    editoon2.jpg
    26.6 KB · Views: 678
Hakuna bahati mbaya hapo,US imekuwa mfadhili wa vikundi mbalimbali vya ugaidi duniani,inavipa pesa,na silaha ili vipigane kwa maslahi yake,at the end vinaigeuka US na kuanza kuihujumu,ndo kama ulivyoona ISIS wanavyoifanyia US na yenyewe ndo inawarudi sasa,hata alqaeda ili advance kwa sababu ya msaada wa US wakati ikimfadhili osama ili kuivuruga USSR,marekani imekuwa ikifuga nyoka ambao mwisho wanaing'ata,urusi iko makini kuhusu Assad,bado inampa silaha na pesa,mkakati wa kuivamia Ukraine haukuwa wa ghafla ni mpango wa miaka mingi ambao urusi imekuwa ikipanga tangu mwaka 2003,si ukraine tu,urusi pia imejipanga kuzivamia,Estonia,Lithuania na Lativia,inataka kuirudisha USSR,kama itavamia nchi hizo,basi vita kuu ya 3 ya dunia itatokea! urusi ina donge moyoni la miaka mingi na US,laiti US ingekuwa dhaifu,basi urusi angeichakaza kabisa,ni suala la wakati tu ila haitafika miaka 10 ijayo vita kuu ya 3 ya dunia itapiganwa,maisha ya Assad yako hatarini sana,anawindwa auawe na US masaa 24 wakitumia CIA urusi inamlinda.
 
Iv ni sababu ipi kubwa US anataka kumchakaza ASSAD. Kuna nini pale cha thamani na cha msingi ambacho US anakitafuta. Naomba kujuzwa wadau.
 
Hakuna bahati mbaya hapo,US imekuwa mfadhili wa vikundi mbalimbali vya ugaidi duniani,inavipa pesa,na silaha ili vipigane kwa maslahi yake,at the end vinaigeuka US na kuanza kuihujumu,ndo kama ulivyoona ISIS wanavyoifanyia US na yenyewe ndo inawarudi sasa,hata alqaeda ili advance kwa sababu ya msaada wa US wakati ikimfadhili osama ili kuivuruga USSR,marekani imekuwa ikifuga nyoka ambao mwisho wanaing'ata,urusi iko makini kuhusu Assad,bado inampa silaha na pesa,mkakati wa kuivamia Ukraine haukuwa wa ghafla ni mpango wa miaka mingi ambao urusi imekuwa ikipanga tangu mwaka 2003,si ukraine tu,urusi pia imejipanga kuzivamia,Estonia,Lithuania na Lativia,inataka kuirudisha USSR,kama itavamia nchi hizo,basi vita kuu ya 3 ya dunia itatokea! urusi ina donge moyoni la miaka mingi na US,laiti US ingekuwa dhaifu,basi urusi angeichakaza kabisa,ni suala la wakati tu ila haitafika miaka 10 ijayo vita kuu ya 3 ya dunia itapiganwa,maisha ya Assad yako hatarini sana,anawindwa auawe na US masaa 24 wakitumia CIA urusi inamlinda.

Naomba ufafanuzi kidogo hapo, Kwamba Marekani anafadhili vikundi hivyo, kisha vinamgeuka au yeye (Marekani) ndiye anavigeuka vikundi hivyo?
Cc: Monstgala
^^
 
Last edited by a moderator:
Unaelewa kwa nini Obama initially alisema hana strategy na ISIL?

It's because fighting ISIL is actually helping out Assad. Kitu ambacho Obama hataki kufanya.

Pia uelewe ndani ya Syria kuna factions nyingi za waasi zenye mirengo tofauti ya kiitikadi, kidhehebu na kikabila. And they fight each other too!

Sasa kusema Obama anamshambulia Assad kwa kuwapiga ISIL ni uongo kwa sababu kwa uhalisia kupiga ISIL ni kumsaidia Assad.

Pia unaposema hawa ISIL ni wale wa Libya si kweli. Waasi wa Libya wanapigana mpaka leo na lengo lao ni Libya na si kuanzisha a caliphate in ME kama ISIL.
 
Unaelewa kwa nini Obama initially alisema hana strategy na ISIL?

It's because fighting ISIL is actually helping out Assad. Kitu ambacho Obama hataki kufanya.

Pia uelewe ndani ya Syria kuna factions nyingi za waasi zenye mirengo tofauti ya kiitikadi, kidhehebu na kikabila. And they fight each other too!

Sasa kusema Obama anamshambulia Assad kwa kuwapiga ISIL ni uongo kwa sababu kwa uhalisia kupiga ISIL ni kumsaidia Assad.

Pia unaposema hawa ISIL ni wale wa Libya si kweli. Waasi wa Libya wanapigana mpaka leo na lengo lao ni Libya na si kuanzisha a caliphate in ME kama ISIL.

Ndugu yangu huwa unafatilia habari kweli? Nakushauri nenda hata BBC uka search hao ISIS wametokea wapi? silaha wamepata wapi? Na watu pia.litendee haki jina lako. Alafu kama ni mfatiliaji wa hizi mambo sio ngumu kung'amua hoja niliyoleta. Unajua dunia nzima inatambua marekani anaipiga ISIS, kupitia hili anaweza kupiga sehemu na miundo mbinu muhimu za kivita za Assad. Anamfanya awe weak zaidi. Pia anaweza penyeza watu wake maalum achilia mbali kuwasupport waasi. Kama hufatilii haya mambo hutonielewa ndugu yangu
 
Ndugu yangu huwa unafatilia habari kweli?

Ndio. Nafuatilia habari.

Nakushauri nenda hata BBC uka search hao ISIS wametokea wapi? silaha wamepata wapi? Na watu pia.

ISIS wamebranch from Al Qaeda na kuota mizizi in Iraq and Syria with the objective of creating a caliphate in ME.

On BBC, hakuna mahali BBC wamesema ISIS imetengenezwa na CIA au MI6 as most of you claim. If you have a link, kindly put it up.

Secondly, like all terrorist cells, hazianzi operations zake wazi na recruitment wazi. Pia in a place like Syria and Iraq where the conflict has turned into a sectarian one, recruitment ya members ni rahisi vile vile upatikanaji wa silaha. Sheikh akitangaza jihad dhidi ya washia hakosi vijana chini ya 100 tayari kujilipua. Tukisema religion ni upuuzi tunaonekana mashetani.

Kukuelewesha vizuri, kwa Syria ni rahisi ku-recruit Sunnis na kuwaambia wanapigana against Allawites and Shia. Kwa Iraq hivyo hivyo. Therefore, an explosion of ISIS membership is not suprising. And there is also a possibility that ISIS receives financial assistance from Sunnis in the gulf, it won't be surprising.

litendee haki jina lako. Alafu kama ni mfatiliaji wa hizi mambo sio ngumu kung'amua hoja niliyoleta.

Umeleta conspiracy theory iliyojaa hisia zaidi ya facts. Unasema ISIS wametokea Libya, this is crazy. Libya bado kunawaka moto na waasi wanapigana, who between them has the time, money and energy to go fight another war in Syria and Iraq?

Obama cannot sit in his oval office while his citizen is beheaded. He is expected to do something.

Unajua dunia nzima inatambua marekani anaipiga ISIS, kupitia hili anaweza kupiga sehemu na miundo mbinu muhimu za kivita za Assad. Anamfanya awe weak zaidi. Pia anaweza penyeza watu wake maalum achilia mbali kuwasupport waasi. Kama hufatilii haya mambo hutonielewa ndugu yangu

Unaweza taja ni miundo mbinu ipi ipo Syria at the moment inayoweza kumsaidia Assad kupigana?

Pia ukishataja hiyo miundo mbinu, unaweza taja ni maeneo gani US imepiga mabomu in Syria na kumuharibia miundo mbinu ya kivita ya Assad? Au ni hisia zako tu na kuongea mambo juu juu with no shred of proof.

Ukiongelea Syria usiseme juu juu tu "kusaidia waasi". Syria waasi wamegawanyika katika factions nyingi. Mfano malengo ya FSA na ISIS ni tofauti japokuwa wote ni waasi. Kwa hiyo unaposema US anaweza kusaidia waasi, do not be vague, sema anasaidia waasi wapi ili usipotoshe.

Obama anasema hana strategy na kuonekana kituko na mtu anaanzisha thread na kusema Obama anampiga ISIS kumshambulia Assad, not knowing "not having a strategy" is saving face for indirectly helping Assad by fighting ISIS.

These are our political analysts. Smh
 
introvert Kukuelewesha vizuri said:
Naomba nikubaliane nawe kwa hilo, wengine pia wanasema IS ni wale askari wa Hayati Saddam hussein wamejipanga muda mrefu na sasa wanataka kuchukuwa nchi yao waitawale kama ilivyokuwa hapo mwanzo, who knows,
 
Iv ni sababu ipi kubwa US anataka kumchakaza ASSAD. Kuna nini pale cha thamani na cha msingi ambacho US anakitafuta. Naomba kujuzwa wadau.
Sababu Assad anawapo sapoti kina Hazbullah ya Lebanon na Al Qasam/ Jihad Al Islam ya Gaza.
 
ISIS = ISRAELI SECRET INTELLIGENCE SERVICE ISIS = ISRAELI SECRET INTELLIGENCE SERVICE | The Millennium Report [h=1]ISIS = ISRAELI SECRET INTELLIGENCE SERVICE[/h]John Bovay
"…And now a new legendary terrorist leader of the Islamic State has emerged: Abu Bakr Al-Baghdadi, who allegedly ordered the kidnapping and murder of the 3 Israeli teenagers (which served as a pretext to bomb Gaza) was trained by Mossad: "[He] took intensive military training for a whole year in the hands of Mossad, besides courses in theology and the art of speech." (Gulf News, July 15, 2014)
The former employee at US National Security Agency (NSA), Edward Snowden, has revealed that the British and American intelligence and the Mossad worked together to create the Islamic State of Iraq and Syria (ISIS).
Snowden said intelligence services of three countries created a terrorist organisation that is able to attract all extremists of the world to one place, using a strategy called "the hornet's nest".
NSA documents refer to recent implementation of the hornet's nest to protect the Zionist entity by creating religious and Islamic slogans.
According to documents released by Snowden, "The only solution for the protection of the Jewish state "is to create an enemy near its borders". (Gulf News, July 15, 2014)
Let us be under no illusions, the Islamic State is a CIA-Mossad creation. It is an intelligence asset.
The incursion of IS brigades into Iraq in June was part of a carefully planned military-intelligence operation supported covertly by the US, NATO and Israel. In Syria, the ISIL is said to be part of "opposition" fighting government forces. The Israeli military is directly supporting the ISIL out of bases in the occupied Golan Heights…"
Who is Abu Musab Al-Zarqawi? From Al-Zarqawi to Al-Bagdahdi: "The Islamic State" is a CIA-Mossad-MI6 "Intelligence Asset" | Global Research
http://www.globalresearch.ca/who-is-abu-musab-al-zarqawi-from-al-zarqawi-to-al-bagdahdi-the-islamic-state-is-a-cia-mossad-mi6-intelligence-asset/5391731
July 15, 2014
Gulf Daily News » World News » Baghdadi ‘Mossad trained'
http://www.gulf-daily-news.com/NewsDetails.aspx?storyid=38115 3
The following link includes a microsofttranslator.com (Bing Translator) link to a source article posted on http://www.alsumaria.tv/
GOING GLOBAL EAST MEETS WEST : Snowden: ISIS leader, Al-Baghdadi, is the product of three intelligence cooperation; U.S., Britain, and Israel
http://goingglobaleastmeetswest.blogs pot.ca/2014/07/snowden-isis-leader-al-baghdadi-is.html
"Alsumaria is an independent Iraqi satellite TV network that transmits on Nilesat, Hotbird, and Noorsat/Eurobird. Established by a group of professional businessmen in 2004, it has 700 employees across Iraq, Lebanon, the United Arab Emirates and Jordan…"
Al Sumaria – Wikipedia, the free encyclopedia
https://en.wikipedia.org/wiki/Al_Sumaria
July 15, 2014
US, UK Trained ISIS Leader Abu Bakr al-Baghdadi along with Mossad?
http://www.ibtimes.co.in/us-uk-trained-isis-leader-abu-bakr-al-baghdadi-along-mossad-604484
Related:
13 July 2014
ISIS raise $1 million a day selling crude oil from captured Iraqi oilfields | Mail Online
http://www.dailymail.co.uk/news/article-2689705/Iraqi-government-forces-accused-executing-hundreds-Sunni-prisoners-revenge-ISIS-advance-cities.html#ixzz37ONMOQRm

<style type="text/css">.youtube_sc iframe.yp{display:none;}</style><object width="560" height="340" class="yp" title="YouTube video player"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/lMUlTSmNu0c?version=3&hl=e n_GB"><param name="allowscriptaccess" value="always"><param name="wmode" value="transparent"><embed src="http://www.youtube.com/v/lMUlTSmNu0c?version=3&hl=e n_GB" width="560" height="340" class="yp" type="application/x-shockwave-flash" wmode="transparent" allowscriptaccess="always"><span style="display:block;margin-top:15px;">The Adobe Flash Player is required for video playback.<br><a href="http://get.adobe.com/flashplayer/" title="Install from Adobe">Get the latest Flash Player</a> or <a href="http://www.youtube.com/watch?v=lMUlTSmNu0c" target="_blank" title="Watch on YouTube">Watch this video on YouTube</a>.</span></object>
 
Last edited by a moderator:
Ndugu yangu huwa unafatilia habari kweli? Nakushauri nenda hata BBC uka search hao ISIS wametokea wapi? silaha wamepata wapi? Na watu pia.litendee haki jina lako. Alafu kama ni mfatiliaji wa hizi mambo sio ngumu kung'amua hoja niliyoleta. Unajua dunia nzima inatambua marekani anaipiga ISIS, kupitia hili anaweza kupiga sehemu na miundo mbinu muhimu za kivita za Assad. Anamfanya awe weak zaidi. Pia anaweza penyeza watu wake maalum achilia mbali kuwasupport waasi. Kama hufatilii haya mambo hutonielewa ndugu yangu

Mkuu kama chanzi chako cha intel ni bbc umepotea
 
Kwanza kabisa ni kutaka kumweka Kiongoz ambaye atafuata matakwa yao.pia kuilinda Israel kwa sababu serikali ya Syria husaidia kufadhili kundi LA hamasi kisilaha na kifedha..3 ni kumuondoa kabisa mrusi katika base yake ya kijeshi iliyopo magharibi mwa syria
 
Kwanza unapofatilia chanzo cha habar zako kuwa ni BBC au CNN hapo umeliwa na unapotoshwa hayo ni mashirika ya serikali usitegemee yataisema eti marekan wanawasaidi waasi wa IS kumuondoa Assad ila ukweli sahh ni Kuwa marekan inatumia njia zakato za kukifanya Hawa waasi wa IS wanawatishia RAIA wa nchi yake kwa nn wasiwaue wachina au warus iwe wamarekan tu na marekan washafanya mashambulz zaid ya 1000 hao waasi hata 100 hawajauwawa tuna posema anapiga miundombinu tunamaanisha anapiga njia ambazo majesh ya Syria yatatumia kuwafikia waas
 
Unaelewa kwa nini Obama initially alisema hana strategy na ISIL?

It's because fighting ISIL is actually helping out Assad. Kitu ambacho Obama hataki kufanya.

Pia uelewe ndani ya Syria kuna factions nyingi za waasi zenye mirengo tofauti ya kiitikadi, kidhehebu na kikabila. And they fight each other too!

Sasa kusema Obama anamshambulia Assad kwa kuwapiga ISIL ni uongo kwa sababu kwa uhalisia kupiga ISIL ni kumsaidia Assad.

Pia unaposema hawa ISIL ni wale wa Libya si kweli. Waasi wa Libya wanapigana mpaka leo na lengo lao ni Libya na si kuanzisha a caliphate in ME kama ISIL.
Muda umesema
 
Kwanza unapofatilia chanzo cha habar zako kuwa ni BBC au CNN hapo umeliwa na unapotoshwa hayo ni mashirika ya serikali usitegemee yataisema eti marekan wanawasaidi waasi wa IS kumuondoa Assad ila ukweli sahh ni Kuwa marekan inatumia njia zakato za kukifanya Hawa waasi wa IS wanawatishia RAIA wa nchi yake kwa nn wasiwaue wachina au warus iwe wamarekan tu na marekan washafanya mashambulz zaid ya 1000 hao waasi hata 100 hawajauwawa tuna posema anapiga miundombinu tunamaanisha anapiga njia ambazo majesh ya Syria yatatumia kuwafikia waas
Hatimaye
 
Ndio. Nafuatilia habari.



ISIS wamebranch from Al Qaeda na kuota mizizi in Iraq and Syria with the objective of creating a caliphate in ME.

On BBC, hakuna mahali BBC wamesema ISIS imetengenezwa na CIA au MI6 as most of you claim. If you have a link, kindly put it up.

Secondly, like all terrorist cells, hazianzi operations zake wazi na recruitment wazi. Pia in a place like Syria and Iraq where the conflict has turned into a sectarian one, recruitment ya members ni rahisi vile vile upatikanaji wa silaha. Sheikh akitangaza jihad dhidi ya washia hakosi vijana chini ya 100 tayari kujilipua. Tukisema religion ni upuuzi tunaonekana mashetani.

Kukuelewesha vizuri, kwa Syria ni rahisi ku-recruit Sunnis na kuwaambia wanapigana against Allawites and Shia. Kwa Iraq hivyo hivyo. Therefore, an explosion of ISIS membership is not suprising. And there is also a possibility that ISIS receives financial assistance from Sunnis in the gulf, it won't be surprising.



Umeleta conspiracy theory iliyojaa hisia zaidi ya facts. Unasema ISIS wametokea Libya, this is crazy. Libya bado kunawaka moto na waasi wanapigana, who between them has the time, money and energy to go fight another war in Syria and Iraq?

Obama cannot sit in his oval office while his citizen is beheaded. He is expected to do something.



Unaweza taja ni miundo mbinu ipi ipo Syria at the moment inayoweza kumsaidia Assad kupigana?

Pia ukishataja hiyo miundo mbinu, unaweza taja ni maeneo gani US imepiga mabomu in Syria na kumuharibia miundo mbinu ya kivita ya Assad? Au ni hisia zako tu na kuongea mambo juu juu with no shred of proof.

Ukiongelea Syria usiseme juu juu tu "kusaidia waasi". Syria waasi wamegawanyika katika factions nyingi. Mfano malengo ya FSA na ISIS ni tofauti japokuwa wote ni waasi. Kwa hiyo unaposema US anaweza kusaidia waasi, do not be vague, sema anasaidia waasi wapi ili usipotoshe.

Obama anasema hana strategy na kuonekana kituko na mtu anaanzisha thread na kusema Obama anampiga ISIS kumshambulia Assad, not knowing "not having a strategy" is saving face for indirectly helping Assad by fighting ISIS.

These are our political analysts. Smh
Muda umeongea
 
Back
Top Bottom