Je hiki ni kijembe kwa Ruby na Clouds?

Mbona jide mwenyew kimya!! anakufa kijerumani au?
 
Ruby aliwazingua clouds miez kadhaa iliyopita akisema ni wanyonyaji ila jana kaomba msamaha,

Jide aliwazingua pia clouds kitambo na hajawahi kuomba msamaha sasa correlate na hiyo tweet uone inakuwaje
Ooh huenda jide alimaanisha hivyo au lah! Lkn nafsi ya mtu haisemewi... Zaid kila mmoja atakuja na tafsir zake...
 
Halafu huyu mama jide kwanini anajiita Commando? ..Commando gani anakojozwa kirahisi rahisi vile na kuachwa na kuanza kulia lia!!
 
Jide mziki umemshinda,kawa mtu wa mipasho sana siku hizi pamoja na kupiga piga vijipicha vya kimahaba na mvulana wake
 
Sio kwamba Jide angeeleza kwanza faida za kuwa kama yeye.

Otherwise ni ngumu kujua Mtu awe/niwe kama yeye ili ninufaike na nini?
 
Kama ni kijembe basi ni kwa Ruby na sio kwa Clouds!

Sioni ni namna gani Clouds wanaathirika kwa ajili ya Jide lakini kwa upande wake, kilichobaki kwa Jide is just a pride... kwamba hawezi kupiga magoti!! Ni kama zile historia za akina Mkwawa... kuliko kukamatwa na Mjerumani baada ya kuwa ameshashindwa vita, basi ni bora ajiue!!!

Na kama ni kijembe kwa Ruby, what for?! Keshakuwa mtu mzima sasa na keshapita rika la kusutana na vitoto mitandaoni bila sababu za msingi!! Ruby ni mdogo sana kitasnia...

So, busara kwa JD ilikuwa ni kum-mentor Ruby kuliko kumpiga vijembe!! Na moja ya mentorship ni kumwambia wazi kwamba "Ruby, wewe bado ni mdogo sana kuanza kuvimba kichwa... haya mambo tuachie sisi!"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…