Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Hapo ukijichanganya tu ukafata wanachosema,inakula kwakoDuh, aisee ni hatari sana hii
Hizo mbinu sio mpya ni za zamani sana. Ni uzwazwa kutapeliwa kwa njia ya mtandao. Tamaa na kupenda mtelemko ndio vinawaponza wengi......Kazi kweli kweli, kila siku matapeli wanatafuta mbinu mpya
Hahaaa haa!!!!Eeebhana!! Mimi hata nichati na mtu miaka mitatu, akiingiza maswala ya pesa tu kanikosa.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kila uchwao wanazaliwa wainga wapya na wale wajinga watoto nao wanakua maumbo yao hivyo wajinga hawataisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwaka 2008 nilipata rafiki friend finder Mexico anaitwa Sergio kwenye kuwasiliana akaniambia amenitumia mzgo umepitia Senegal so niwasiliane na Huyo wa Senegal nkapewa namba!Aisee kumbe kuna watu Tanganyika hii bado wanatapeliwa kizembe hivi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Bas rafiki yangu yeye ni juzi tu ndo alitaka kuingia mkengeMwaka 2008 nilipata rafiki friend finder Mexico anaitwa Sergio kwenye kuwasiliana akaniambia amenitumia mzgo umepitia Senegal so niwasiliane na Huyo wa Senegal nkapewa namba!
Nkamuambia rafiki yangu anaitwa Delmar akaniambia usithubutu hao wezi!basi jioni nkapiga nkamuambia yule msenegali kua Sina hicho kiasi walinambia ntoe kama el38 kam sikosei hv... Ikawa mwisho wa mawasiliano
Yaani si Jana wala juzi huu utapeli upoo
Sent using Jamii Forums mobile app
Inaelekea utapeli unalipa eeh, ngoja na mie nianzeAta Mimi kunadem Alijitaid kunitapeli lakini alishindwa alijifanya mwanafunz anatokea England, amekuja Guinea kwaajir ya research maswala ya wanyama , nikamtongoza akubari fresh , kimbembe kikaanzia nilipo mwambia aje Tz anakuja lakini nimtumie dollars 400, ili alipie sijui visa, nauli, Nilicho gundua ni msanii wa bongo kwenye kuandika English anaandika vibaya mno ajui kuandika wakati uliopita , wakati ujao , wakati timilifu yan kiingereza chake nikajua uyu ni mswahili mwenzangu nilivyo mwambia sina ela yeye aje nitamludishia akishafika , akunijibu nika blockiwa fasta
Sent using Jamii Forums mobile app
Anza na mimiInaelekea utapeli unalipa eeh, ngoja na mie nianze
[emoji23][emoji23][emoji23] nakuja pm kukutapeliAnza na mimi
Karibu[emoji23][emoji23][emoji23] nakuja pm kukutapeli