Je hili lina ukweli wowote dada zangu

Huyo demu ni kahaba tu sema alikuwa akichangamsha genge.
Hakuna mwanamke anayevaa suruali iliyochanwa mapajani sio kahaba.
Never
 
Vipi kuhusu alicho kiandika,tuachane na suruali yake.
Mitandaoni watu huandika maudhui yoyote ilimradi tu wapate wafuasi wengi wapate kufanya biashara zao.
Hii jumbe ilianza kupostiwa na Mugabe Quates miaka 4-5 nyuma, then comedian wa cheka tu wakawa wanaitumia na sasa wasawahili wengi huandika .
Ila huyo dada ni muuzaji wa mwili wako yaani kahaba wa kimtandao.
Nenda Instagram utamkuta kamtongoze ila pesa kwanza kabla ya yote
 
Sometimes hata saa mbovu huwaga inapatia majira, je kwa hiko alicho kizungumza kina ukweli wowote?

Huyo dada unamwita kahaba, ila mimi maisha yake binafsi na yajua ni dalali mkubwa tu wa viwanja na ameolewa mda na mme wake Ochushegy wana miaka zaidi ya saba.
 
Wewe jua tu kwamba hakuna mwanamke anayevaa suruali iliyochanwa mapajani akapiga picha na kuirusha mtandaoni sio kahaba.
Suala la kuolewa au kufanya udalali ni jambo jingine.
 
Wewe jua tu kwamba hakuna mwanamke anayevaa suruali iliyochanwa mapajani akapiga picha na kuirusha mtandaoni sio kahaba.
Suala la kuolewa au kufanya udalali ni jambo jingine.
Mtizamo wako ila hayupo hivyo unavyozani namjua vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…