je hili litafaa likiongezwa kwenye mtaala wa elimu tanzania?

kajiti

Member
Joined
Oct 19, 2011
Posts
59
Reaction score
7
kwa mtazamo wangu ninaona kuanzia elimu ya msingi hadi sekondari ingeongezewa somo la ufundi (kwa vitendo). Sababu ya msingi inayofanya nifikiri juu ya hili ni;
- wale wanaoshindwa kuvuka kutoka ngazi moja kwenda nyingine wanajikuta wamesoma kukariri ila inkuwa vigumu sana kuifanyia kazi elimu waliyopata.
mnasemaje wana JF?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…