Wandungu habari zenu wote.
jamani kuna tabia nimekuwa nayo na ninaona inaniharibia mahusiano, either niachwe au huyo niliyenae anione kero.
ila wandugu niwaambieni, sio kupenda kwangu ni kwamba najikuta tu nabehave hivyo nadhani nina ugonjwa wa mapenzi, hebu wataalamu wanisaidie kunipa jinsi ya kuacha.
tatizo lenyewe ni wivu uliopitiliza, hapo mwanzo sikuwa hivyo ila jinsi navyozidi kukua ndivyo najikuta nina wivu wa ajabu kiasi kwamba nataka mpenzi wangu niwe nae saa zote, muda wote nijue yuko wapi na nani, na hata kama alinambia yuko wapi basi mi siku zote nitawaza yupo na mwanamke. inanifanya nikose furaha ndani ya mahusiano kwani kila kutwa ni kugombana.
nisaidieni wapendwa jinsi gani nitaepuka hili tatizo,ni jinsi gani nitatoa haya mawazo hasi kichwani mwangu?
ushauri wako ndio utanifungua mimi na kunipa furaha tena kwenye mahusiano yangu.
Asanteni
jamani kuna tabia nimekuwa nayo na ninaona inaniharibia mahusiano, either niachwe au huyo niliyenae anione kero.
ila wandugu niwaambieni, sio kupenda kwangu ni kwamba najikuta tu nabehave hivyo nadhani nina ugonjwa wa mapenzi, hebu wataalamu wanisaidie kunipa jinsi ya kuacha.
tatizo lenyewe ni wivu uliopitiliza, hapo mwanzo sikuwa hivyo ila jinsi navyozidi kukua ndivyo najikuta nina wivu wa ajabu kiasi kwamba nataka mpenzi wangu niwe nae saa zote, muda wote nijue yuko wapi na nani, na hata kama alinambia yuko wapi basi mi siku zote nitawaza yupo na mwanamke. inanifanya nikose furaha ndani ya mahusiano kwani kila kutwa ni kugombana.
nisaidieni wapendwa jinsi gani nitaepuka hili tatizo,ni jinsi gani nitatoa haya mawazo hasi kichwani mwangu?
ushauri wako ndio utanifungua mimi na kunipa furaha tena kwenye mahusiano yangu.
Asanteni