anadanganya yote yote kwa kweli, anaweza akasema uongo kwa mtu halafu anakuja kunambia nimemwambia mtu fulani kuwa hivi na hivi akikuuliza sema ndiyo.au anadanganya mimi napoishi au yeye anapofanya kazi cheo chake, anadanganya amewahi ishi abroad..na pia anadanganya kuhusu fulani kamtaka mara rafiki zangu, rafiki zake, wafanya kazi wenzake na hata ndugu zangu,lol, yani yeye ni kudanganya tu Lizzy ,mpaka kwenye kila maneno 100 aongeayo huwa naamini 45 tu kwa kweli.