Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Je, wajua kwa nini Mh Rashid Kawawa alivaa nguo hizi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pisi za Zamani hazikuwa na matumbo makubwa hadi raha!Yupo na pisi pembeni hapo
Du...hata wewe mamsap!Dubai
Wanawake wa miaka hii wana mitumbo mpaka wanakata stimu. Mkumbatie kwa nyuma halafu useme unashika kiuno chake kwa mbele unakutana na tumbo kiuno kimefunikwa huwa nachekaga sanapisi za Zamani hazikuwa na matumbo makubwa hadi raha!
tusije tukakufuru..🤣Wanawake wa miaka hii wana mitumbo mpaka wanakata stimu. Mkumbatie kwa nyuma halafu useme unashuka kiuno chake kwa mbele unakutana na tumbo kiuno kimefunikwa huwa nachekaga sana
Yaani............ kwa uzoefu huo!!!!Wanawake wa miaka hii wana mitumbo mpaka wanakata stimu. Mkumbatie kwa nyuma halafu useme unashika kiuno chake kwa mbele unakutana na tumbo kiuno kimefunikwa huwa nachekaga sana
Michemsho na castle lite za bariid!Wanawake wa miaka hii wana mitumbo mpaka wanakata stimu. Mkumbatie kwa nyuma halafu useme unashika kiuno chake kwa mbele unakutana na tumbo kiuno kimefunikwa huwa nachekaga sana
Alijifanya Nkwame Nkuruma
Kifuruni tu. Mkufuru mara ngapi?tusije tukakufuru..🤣
tumekufuru wapi..?Kifuruni tu. Mkufuru mara ngapi?
Nyakati zimebadilika.Iyo pisi imevaa viatu vya Makirikiri na kitenge kimoja matata sana.
Sikuizi ukimwambia manzi vaa vizuri tutoke anakuvalia msuruali wa kubana.
Umepatia kiasi mkuu.Alijifanya Nkwame Nkuruma