Je hili vazi la Mh Kawawa lilitoka wapi?

Je hili vazi la Mh Kawawa lilitoka wapi?

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
FB_IMG_1730090498960.jpg


Je, wajua kwa nini Mh Rashid Kawawa alivaa nguo hizi?
 
Alijifanya Nkwame Nkuruma
Umepatia kiasi mkuu.
Si kwamba Mh Kawawa alijifanya, bali miaka kabla na baada ya uhuru 1961 vazi la kuonyesha Uafrika wako proudly ni vazi la ki West Afica hasa Ghana.
Ikumbukwe kuwa Ghana ilipata uhuru tarehe 6 March , 1957, maeneo ya Gold Coast, Ashanti, majimbo ya Kaskazini na jimbo la Togoland yaliungana , na kupewa uhuru na waingereza.
Vazi alilovaa Kawawa ndiyo lilionyesha mwafrika huru barani kote Africa.
 
Back
Top Bottom