ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
Guyz habarini hapa mm nina wazo na ninataka nipeleke ngazi husika naombeni ushauri niende au vipi na je hili wazo litakuwaje
Lipo hivi kila taasisi hapa nchini ina umuhimu mkubwa na, wengi wanakuwa wahitaji msaada toka taasisi mbalimbali.... kutona na ukweli kwamba, saahizi watanzania wengi wasomi wanaongezeka... bila kujali ni njia gani wanatumia kupata pesa za kusomea lakini kuna pesa zinakuwa zinatumika pasipo na maana na shida zingine hazitatuliki kwa kukosa pesa ya kutatulia hilo tatizo mwishowe ndoto za watu zinakufa.
Nataka TCU, HESLB, NACTE, NECTA... wafungue matawi kila mkoa ambapo watu wenye matatizo mengi watafika kwenye matawi hayo na kusaidiwa badala ya, kulazimika kufika dar kwa gharama kubwa na pia msongamano utapungua hasa kipindi cha udahiri na vile vipindi ambapo wanafunzi wengi wans kuwa na matatizo.
Hivyo basi mm nataka kuzishauri hzo taasisi kufungua matawi kila mkoa je hili limekaaje.
Lipo hivi kila taasisi hapa nchini ina umuhimu mkubwa na, wengi wanakuwa wahitaji msaada toka taasisi mbalimbali.... kutona na ukweli kwamba, saahizi watanzania wengi wasomi wanaongezeka... bila kujali ni njia gani wanatumia kupata pesa za kusomea lakini kuna pesa zinakuwa zinatumika pasipo na maana na shida zingine hazitatuliki kwa kukosa pesa ya kutatulia hilo tatizo mwishowe ndoto za watu zinakufa.
Nataka TCU, HESLB, NACTE, NECTA... wafungue matawi kila mkoa ambapo watu wenye matatizo mengi watafika kwenye matawi hayo na kusaidiwa badala ya, kulazimika kufika dar kwa gharama kubwa na pia msongamano utapungua hasa kipindi cha udahiri na vile vipindi ambapo wanafunzi wengi wans kuwa na matatizo.
Hivyo basi mm nataka kuzishauri hzo taasisi kufungua matawi kila mkoa je hili limekaaje.