Hi Wanajamvi
Wakuu ninaomba kueleweshwa-Hiki kitu kinachoitwa historia ni kitu gani hasa?kwanini katika maisha ya mwanadamu au Taifa kuna kitu kinaitwa historia?Je katika uhalisia wake historia inaweza kumtawala mtu?Je ni kwanini sasa sisi tunataka kutawaliwa na historiaNisaidie ndugu zangu
Wakuu ninaomba kueleweshwa-Hiki kitu kinachoitwa historia ni kitu gani hasa?kwanini katika maisha ya mwanadamu au Taifa kuna kitu kinaitwa historia?Je katika uhalisia wake historia inaweza kumtawala mtu?Je ni kwanini sasa sisi tunataka kutawaliwa na historiaNisaidie ndugu zangu