Uwepo wa maridhiano umewajibika vipi katika haya?
1. Watu waliotekwa, kuteswa na kuuawa
2. Watu waliopigwa risasi na manyanyaso mengine wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa 2024.
3. Hujuma zote zilifanyika kabla, wakati na baada ya uchaguzi wa serikali za mitaa.
4. Ukiporwa mali yako halafu mkafanya mazungumzo na yule mporaji kisha ukarudishiwa mali yako hiyo ni faida ya maridhiano?
Huyo ndo Mwamba wa akina Boni egg anayetakiwa kuvusha jahazi,
Mpaka hapo tu, ameshafail.
1. Watu waliotekwa, kuteswa na kuuawa
2. Watu waliopigwa risasi na manyanyaso mengine wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa 2024.
3. Hujuma zote zilifanyika kabla, wakati na baada ya uchaguzi wa serikali za mitaa.
4. Ukiporwa mali yako halafu mkafanya mazungumzo na yule mporaji kisha ukarudishiwa mali yako hiyo ni faida ya maridhiano?
Huyo ndo Mwamba wa akina Boni egg anayetakiwa kuvusha jahazi,
Mpaka hapo tu, ameshafail.