Je hizi ni dalili za "Wakubembea" kumwagwa 2010?

Geza Ulole

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2009
Posts
65,136
Reaction score
91,917
Inasemekana minong'ono na kunyoosheana vidole kwingi kunakotokana na kutoolewena na wana ze mtandao na wachukia ufisadi hakutaishia hapo! habari za kuaminika zinadai ile kambi ya wachukia ufisadi ina mpango wa kumtofuga machoni wakubembea huyu asiyeskia la kufa! Wakubembea huyu asiyetaka kukata ze mtandao ndani ya inner circle ya wanadai kuwa ndo wenye chama anapotozwa zaidi na kubwabwaja kwa msaidizi wake "Wakufyatuka" .

Kama "Wakubembea" hatajirekebisha na kujua kutofautisha urafiki na uendeshaji wa nchi kuna dalili nyingi kutochaguliwa kuwa mgombea hapo mwaka kesho!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…