ISACOM
JF-Expert Member
- Jul 22, 2009
- 546
- 413
Hivi ni kweli kuhusu taarifa za bodi ya mikopo wa elimu ya juu mwaka huu,kuwa mkopo watapata wanafunzi wa faculty of science and faculty of education.Maana hizi taarifa zinatuchanganya kutokana na tetesi za mitaani.Naomba kwa yeyote mwenye taarifa juu ya hilo atupe (briefly).
Last edited: