Je honda wave 110i bei yake ni shilingi ngapi ikiwa used na ikiwa dukani?

Hudhaifiy

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2013
Posts
336
Reaction score
145
Habari zenu, kwa yoyote anayejua bei za pikipiki coz najua maduka yalipo ila naamini kuna wataalamu ndio maana ikawepo JamiiForums! Bei ya wave 110i dukani ni bei gani? Na bei ya used ni bei gani?
 
Habari zenu, kwa yoyote anayejua bei za pikipiki coz najua maduka yalipo ila naamini kuna wataalamu ndio maana ikawepo JamiiForums! Bei ya wave 110i dukani ni bei gani? Na bei ya used ni bei gani?
View attachment 149207
Hizi Honda bei zake ni arround milion 12 hadi ifike Bongo. Ila unakaa nayo hadi unazeeka.
 
La muhimu ni ukihitaji unazipata wapi kwa hapa Tanzania.

Nimeipenda hii scooter pamoja na Vespa gts 300, zikiwa mpya kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…