Je Housegirl naye?

Huyu Mama inabidi abadilishe beki tatu.... Akuletee mbaya na mweusi kama kiwi! Beki tatu haruhusiwi sio tu kukuchemshia maji, hata kutandika kitanda chako na Mkeo. Akija na kanga moja nyepesi na wewe Kaka Kiiza ulivyo, Si itakuwa balaa!!! Unaweza ukala mvua 30. mkeo aliyaona hayo ndio maana anakaba kila kona.
 
kifupi unashangaza kungangania hg akuhudumie wakati mkeo yupo na anatake responsibility kama mke,y utake hg akufanyie hayo kweli unataka kitu huna lolote,looo acha hzo muheshimu mkeo
 
Abiria chunga mzigo wako inaonekana huaminiki wewe..
Kwa hapo ulipoanza sijui ni mu- Iraqy sijui mbarabeidi una lako jambo(sentesi yako inavuta hisia)

Lah,afadhali umerudisha avatar ya awali. Halafu we unaonekana ni shombe wa ki iraqy & kinyiramba ama nimekosea Fl 1?
 
Mzee yaani hukuweza kuongelea hii ishu bila kumsifia kwanza huyo beki 3. Kwa wanaume hapa tunajua huyu mtoto tayari unammezea mate....Pole yako shemeji kashtukia mapemaaaaaaaaaaa.
 

kaka mbona nimesatoa msaada ka kusema huyo mama yupo sawa kabisa!...ni jukumu la mama kukuandalia maji na sio hg.
 
Mzee yaani hukuweza kuongelea hii ishu bila kumsifia kwanza huyo beki 3. Kwa wanaume hapa tunajua huyu mtoto tayari unammezea mate....Pole yako shemeji kashtukia mapemaaaaaaaaaaa.
jamaa anataka zero grazing bana!!
hahahaaaa!!!
 
Kaka hicho ndo kitunguu swaumu, kiekuingia jichoni, pole sana ndugu

Mi wa kwangu huwa nampiga sana mbele ya waifu hasa baada ya kuanza tabia ya kunikalia uchi na vimitego vya kijinga, by the way mpwa, akunyimaye .....kakuepushia...........

Shukuru umeepushiwa NENo wewe
 
Mmh we mleta mada ni kipanga and shame on u.

Hujui wajibu wa mke na wajibu wa hg. yaani hata kujipakulia chakula kilichotengwa mezani au kujiwekea maji bafuni huwezi kisa mkeo hayupo na unataka hg akufanyie loh! Sio siri una ajenda nyingine usitafute sapoti na kuwa mstaarabu kwa mkeo ambaye amekuheshimu kama ulianza tabia mbaya acha bado hujachelewa.
 
Hawekewi mtu maji bafuni na housegirl.PERIOD!
Dar kuna baridi kiaina kwa sasa!!!
mimi maji anachemsha h/g, na yakiwa tayari anayaleta mlangoni na anamuita wifey kuwa maji tayari....hapeleki bafuni yeye.....sasa kama chumba self ataingia chumbani then aingize maji bafuni???

mi simwambii msichana anichemshie maji...namwambia wifey, kama wifey hayupo, namwambia msichana.

Ila hili swala la huyu bwana............anaonekana mama kayayii wake hamuamini hata kidogo, which in my opinion, nimbaya, especially kama jamaa hana issues za kiivo, itampelekea afanye kweli akipata chance sasa!!!
 
Inaelekea ma house girl waliopita ulikuwa una wamega ndo maana wife hakuamini tena. Nampongeza my wife wako kwa mbinu anzotumia kumlinda mtoto wa kike
 

Mkuu, hapo kwenye red unamaanisha unampiga H/G? what for man, thats rude man for real.
Kama ni kweli, umenisikitisha sana, kumpiga mwanamke haijalishi ni mke au H/G is rude!!
 
mkuu, hapo kwenye red unamaanisha unampiga h/g? What for man, thats rude man for real.
Kama ni kweli, umenisikitisha sana, kumpiga mwanamke haijalishi ni mke au h/g is rude!!

kweli amenishangaza, how come anampiga mbele ya mke na je huyo mke ni mwanamke? To me hg akikushinda unamwachisha kazi, unamlipa haki yake na kumrudisha kwao maana umemwajiri!
 

Na wewe leta HouseBoy, handsome and SEXY one ili awe anakuhudumia wewe na uendelee kuwa na amani na mkeo
 
kweli amenishangaza, how come anampiga mbele ya mke na je huyo mke ni mwanamke? To me hg akikushinda unamwachisha kazi, unamlipa haki yake na kumrudisha kwao maana umemwajiri!
yeah!! strange eeh!!!
Mi nikimuona hata mke wangu akimpiga H/G tutagombana kabisa!! kama amshinda si amrudishe alikomtoa??!!
1) Kumpiga mtumishi especially mwanamke sio good management practice, ina maana ofisini kwako, office assistant akikosea unamdunda??!!
2) risky ya kum-treat vibaya mtumishi wa ndani ni kubwa sana.....anaweza kukuwekea hata sumu, au akakunywesha mavi hiviv hivi, anaweza akaamua kutochemsha maji ya kunywa, akawa anaweka kwenye fridge hivyo hivyo...kama una watoto, unashangaa wanaumwa mfululizo tu hawaponi wala nini!!!
 

Nadhani tamaa ya mwili inakaribia kukushinda:

Anywayz huna haja ya kuwa "vugu vugu" : Mnunulie simu HG halafu mfanye mawasiliano ya "Kumaliza mchezo".

Mu-Iraqy!!! - Hybrid!!!! - E.t.c: Umemsifia kiasi kwamba inawezekana akiondoka unapiga "puli"!
 

tungekua tunawaheshimu hawa hg kama tunavyoheshimiana na wenzetu kazini, kusingekua na hizi cases za hg kuwawekea watoto sumu, cjui kwenye friji. Tunasahau wao ndio wanatupikia kila cku anauwezo wa kutuwekea chochote au kutulisha chochote. Namheshimu sana hg wangu as a result anatimiza wajibu wake bila kuambiwa, akienda likizo wiki2 my baby atapungua uzito kwa kukosa kula vizuri maana hg ndie mtaalamu wake wa kula!
 
Nadhani tamaa ya mwili inakaribia kukushinda:

Anywayz huna haja ya kuwa "vugu vugu" : Mnunulie simu HG halafu mfanye mawasiliano ya "Kumaliza mchezo".

Mu-Iraqy!!! - Hybrid!!!! - E.t.c: Umemsifia kiasi kwamba inawezekana akiondoka unapiga "puli"!

...ha ha ha, ndio maana hapo awali nilim shuushhh ile lugha aliyotumia. Kama si mkewe aliyeshtukia hizo non-verbal communications, basi ni huyo hse girl kashtaki kwa 'dada' jinsi shemeji anavyomtolea udenda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…