Dreamliner
JF-Expert Member
- Jan 17, 2010
- 2,034
- 214
Abiria chunga mzigo wako inaonekana huaminiki wewe..
Kwa hapo ulipoanza sijui ni mu- Iraqy sijui mbarabeidi una lako jambo(sentesi yako inavuta hisia)
Asprin mungu akubariki kwa uelewa wako unamuelewa mtu mapema lakini Nyamayao inaonekana atakikutoa msaada penye tatizo kazi kukandamiza penye ukweli hili ukweli usitambulike!Ila nawashukuru wote kwa mawazo yenu nitachambua nakuyafanyia kazi moja baada ya jingine.
Need I say More?!!Nini tatizo hapo? Si kakuepusha na shari ama?
jamaa anataka zero grazing bana!!Mzee yaani hukuweza kuongelea hii ishu bila kumsifia kwanza huyo beki 3. Kwa wanaume hapa tunajua huyu mtoto tayari unammezea mate....Pole yako shemeji kashtukia mapemaaaaaaaaaaa.
Dar kuna baridi kiaina kwa sasa!!!Hawekewi mtu maji bafuni na housegirl.PERIOD!
Kaka hicho ndo kitunguu swaumu, kiekuingia jichoni, pole sana ndugu
Mi wa kwangu huwa nampiga sana mbele ya waifu hasa baada ya kuanza tabia ya kunikalia uchi na vimitego vya kijinga, by the way mpwa, akunyimaye .....kakuepushia...........
Shukuru umeepushiwa NENo wewe
mkuu, hapo kwenye red unamaanisha unampiga h/g? What for man, thats rude man for real.
Kama ni kweli, umenisikitisha sana, kumpiga mwanamke haijalishi ni mke au h/g is rude!!
Wadau kuna mahali sipaelewielewi hivi!Hebu tutupie macho nako!
Mke kaleta House girl kutoka huko Kondoa mpakani mwa singida mchanganyiko na mnyiramba na Ukoo waki iraqy!!!Nadhani umenielewa!Hiyo ni hybrd..............Lakini cha ajabu mke eti hataki nimtume kunichemshia maji wala kumtuma kazi zinazofanana na hizo ukizingatia mimi narudi usiku kutizama worldcup!hataki yeye afungue mlango na baya zaidi yeye nimtumishi akienda kazi za usiku basi lazima huyo wife hatafanya mipango mapema kuwapeleka watoto kwa mama mkwe au kwetu kwakisingizio bibiyao kawaita nahousegirl naye anaondoka!!!!Hivyo nakuwa napata tabu sina wakumtuma Hapo inanibidi nipakuwe mwenyewe vitu kama hivyo!!!Namimi ninalipa mshahara!!!
:behindsofa:
yeah!! strange eeh!!!kweli amenishangaza, how come anampiga mbele ya mke na je huyo mke ni mwanamke? To me hg akikushinda unamwachisha kazi, unamlipa haki yake na kumrudisha kwao maana umemwajiri!
Wadau kuna mahali sipaelewielewi hivi!Hebu tutupie macho nako!
Mke kaleta House girl kutoka huko Kondoa mpakani mwa singida mchanganyiko na mnyiramba na Ukoo waki iraqy!!!Nadhani umenielewa!Hiyo ni hybrd..............Lakini cha ajabu mke eti hataki nimtume kunichemshia maji wala kumtuma kazi zinazofanana na hizo ukizingatia mimi narudi usiku kutizama worldcup!hataki yeye afungue mlango na baya zaidi yeye nimtumishi akienda kazi za usiku basi lazima huyo wife hatafanya mipango mapema kuwapeleka watoto kwa mama mkwe au kwetu kwakisingizio bibiyao kawaita na housegirl naye anaondoka!!!!Hivyo nakuwa napata tabu sina wakumtuma Hapo inanibidi nipakuwe mwenyewe vitu kama hivyo!!!Namimi ninalipa mshahara!!!
yeah!! Strange eeh!!!
Mi nikimuona hata mke wangu akimpiga h/g tutagombana kabisa!! Kama amshinda si amrudishe alikomtoa??!!
1) kumpiga mtumishi especially mwanamke sio good management practice, ina maana ofisini kwako, office assistant akikosea unamdunda??!!
2) risky ya kum-treat vibaya mtumishi wa ndani ni kubwa sana.....anaweza kukuwekea hata sumu, au akakunywesha mavi hiviv hivi, anaweza akaamua kutochemsha maji ya kunywa, akawa anaweka kwenye fridge hivyo hivyo...kama una watoto, unashangaa wanaumwa mfululizo tu hawaponi wala nini!!!
Nadhani tamaa ya mwili inakaribia kukushinda:
Anywayz huna haja ya kuwa "vugu vugu" : Mnunulie simu HG halafu mfanye mawasiliano ya "Kumaliza mchezo".
Mu-Iraqy!!! - Hybrid!!!! - E.t.c: Umemsifia kiasi kwamba inawezekana akiondoka unapiga "puli"!