mwakifamba
Member
- Sep 7, 2014
- 48
- 15
Nadhan ni halmashauri...ila unaweza ukaanzia ofisi ya kata husika utapata ufafanuzi zaidi!Habari
Kama MTU yuko kibamba katka eneo la viwanja vilivyopimwa na kampuni inayouza viwanja vilivyoshapimwa na MTU unataka aanze ujenzi
Je,ni muda gani na sh ngapi inatumika hadi upate kibali cha ujenzi?
Naombeni uzoefu wenu has a kwa ambao tayari washajenga
Gharama zikoje? Tafadhali nifahamisheInachuku Wiki mbili
Mkuu
Nimefatilia kibari wilaya ya Kigamboni
Ndo nikakipata ndani ya mda huo.
Ndo hao atawapata halmashauri,kuna Karla kakulipia piaHuitaji kibali cha kujenga. Watafute wale wanaoandikaga 'SIMAMISHA UJENZI'. Wahonge pesa kidogo uanze kujenga.
Gharama inabidi uende na mchoro wako Halmashauri husika ndio watakupa kulingana na ukubwa wa jengo lako. Kama huna mchoro bado basi inabidi umuone Msanifu majengo kwanza akutengenezee mchoro.Gharama zikoje? Tafadhali nifahamishe
Garama sio kubwa sana,wana-calculate kwa m sq;kama ni gorofa watachukua m sq ya floor ya chini unazidisha na idadi ya floor