Je, huduma za Bolt/Uber zinapatikana karibu na uwanja wa ndege wa KIA?

Je, huduma za Bolt/Uber zinapatikana karibu na uwanja wa ndege wa KIA?

The Evil Genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
6,017
Reaction score
19,506
Naomba kujua, baada ya kutua KIA, je kuna huduma za usafiri za kimtandao kama Bolt ama Uber pale jirani kama ilivyo kwa JKN ama Mwanza ama Dodoma?

Binafsi KIA sijawahi kutua pale nikatumia usafiri wa umma, mara nyingi hua kunakua na usafiri wa ofisi ama kuna mshikaji wangu hua anakuja kunipokea pale. This time vyote hivyo havipo.

Naomba kufahamishwa huduma za usafiri pale kutoka KIA kwenda Arusha ama Moshi.
 
Naomba kujua, baada ya kutua KIA, je kuna huduma za usafiri za kimtandao kama Bolt ama Uber pale jirani kama ilivyo kwa JKN ama Mwanza ama Dodoma?

Binafsi KIA sijawahi kutua pale nikatumia usafiri wa umma, mara nyingi hua kunakua na usafiri wa ofisi ama kuna mshikaji wangu hua anakuja kunipokea pale. This time vyote hivyo havipo.

Naomba kufahamishwa huduma za usafiri pale kutoka KIA kwenda Arusha ama Moshi.
Bolt za nini?shattle,taxi zimejaa kibao hapo,vijana wanachangamkia fursa

Au unataka usafiri wa bei chee
 
Naomba kujua, baada ya kutua KIA, je kuna huduma za usafiri za kimtandao kama Bolt ama Uber pale jirani kama ilivyo kwa JKN ama Mwanza ama Dodoma?

Binafsi KIA sijawahi kutua pale nikatumia usafiri wa umma, mara nyingi hua kunakua na usafiri wa ofisi ama kuna mshikaji wangu hua anakuja kunipokea pale. This time vyote hivyo havipo.

Naomba kufahamishwa huduma za usafiri pale kutoka KIA kwenda Arusha ama Moshi.
Shuttle ni 10k hadi 15k ila utakaa Kwa saa 2 au 3 mfike wengi kidogo,au Download indrive na hii ni mara chache sana otherwise andaa 70k kutegemea unapokwenda Kwa tax ,Mimi Sina ujinga kama mke au rafiki wako busy , natoka nje ya airport boda ya Buku 3 mpaka main road Kisha buku jero mpaka chuga ,Bora hiyo Hela nitoe sadaka na wine.
 
Kuna mfumo kama bolt ila wapo registered na Swissport huduma ipo ya uhakika
kama unapanda precision unaweza pewa lift kwenye shuttle yao😂😂
 
Shuttle ni 10k hadi 15k ila utakaa Kwa saa 2 au 3 mfike wengi kidogo,au Download indrive na hii ni mara chache sana otherwise andaa 70k kutegemea unapokwenda Kwa tax ,Mimi Sina ujinga kama mke au rafiki wako busy , natoka nje ya airport boda ya Buku 3 mpaka main road Kisha buku jero mpaka chuga ,Bora hiyo Hela nitoe sadaka na wine.
ni option pia
 
Back
Top Bottom