Elitwege
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 5,294
- 10,970
Habari,
Sekeseke la kuwabana wakwepa kodi kwa kutumia task force na kufunga biashara zao lilizua mjadala kila kona kwamba hilo zoezi linawasababishia hao wakwepa kodi ugumu wa maisha na vyuma kukaza hivyo TRA wakaamuliwa kuachana nalo.
Sasa TRA wanakusanya kodi kwa kuwabembeleza wakwepa kodi na hairuhusiwi kuwafungia maduka yao maana maisha yatakuwa magumu sana kwao.
Je, hao wamachinga walioondolewa na kufungiwa vibanda vyao, vyuma vimelegea au vimekaza huko waliko? Hela zimejaa mfukoni mwao? Maisha yamekuwa mazuri mno kwao na sasa wanakula kuku kwa mrija?
Hela zimejaa mitaani?
Kama maisha yamekuwa magumu kwao huko waliko nani alaumiwe?
Njaa haina baunsa.
Adui muombee njaa.
Sekeseke la kuwabana wakwepa kodi kwa kutumia task force na kufunga biashara zao lilizua mjadala kila kona kwamba hilo zoezi linawasababishia hao wakwepa kodi ugumu wa maisha na vyuma kukaza hivyo TRA wakaamuliwa kuachana nalo.
Sasa TRA wanakusanya kodi kwa kuwabembeleza wakwepa kodi na hairuhusiwi kuwafungia maduka yao maana maisha yatakuwa magumu sana kwao.
Je, hao wamachinga walioondolewa na kufungiwa vibanda vyao, vyuma vimelegea au vimekaza huko waliko? Hela zimejaa mfukoni mwao? Maisha yamekuwa mazuri mno kwao na sasa wanakula kuku kwa mrija?
Hela zimejaa mitaani?
Kama maisha yamekuwa magumu kwao huko waliko nani alaumiwe?
Njaa haina baunsa.
Adui muombee njaa.