BWANA MISOSI
Member
- Feb 11, 2020
- 39
- 24
Habari wana JF.
Leo nilikuwa kwenye daladala asubuhi nikasikia mama mmoja analalamika kuwa mwanae amesajiliwa kama private candidate kwenye mtihani wa form six. Sababu anasema kuwa mwanaye hajafikisha points 25 kwa matokeo yake ya form four pamoja na kurisiti, kurisiti, yaani ukichukua jumla za points kwa mtihani wakati amemaliza na alivyorisiti inatakiwa ifika point 25 kwa masomo aliyofaulu.
Tofauti na hapo atasajiliwa kama private candidate, na pia nimemsikia huyo mama akisema kuwa kama kwenye kombi haujabalance kwa kupata credit kwa kila somo hutaruhusiwa kufanya mtihani wa form six as school candidate ila utasajiliwa kama private candidate?
Maana yake kwa sasa huruhusiwa kufanya mtihani as school candidate hujabalance kombi na hujafikisha point 25 hata kama umefanikiwa kupata credit tatu, je ni kweli? na kuna shida gani endapo ukisajiliwa as private canditades? Kitu gani unakosa endapo ukisaliwa private candidate ambacho school candidates anapata?
Leo nilikuwa kwenye daladala asubuhi nikasikia mama mmoja analalamika kuwa mwanae amesajiliwa kama private candidate kwenye mtihani wa form six. Sababu anasema kuwa mwanaye hajafikisha points 25 kwa matokeo yake ya form four pamoja na kurisiti, kurisiti, yaani ukichukua jumla za points kwa mtihani wakati amemaliza na alivyorisiti inatakiwa ifika point 25 kwa masomo aliyofaulu.
Tofauti na hapo atasajiliwa kama private candidate, na pia nimemsikia huyo mama akisema kuwa kama kwenye kombi haujabalance kwa kupata credit kwa kila somo hutaruhusiwa kufanya mtihani wa form six as school candidate ila utasajiliwa kama private candidate?
Maana yake kwa sasa huruhusiwa kufanya mtihani as school candidate hujabalance kombi na hujafikisha point 25 hata kama umefanikiwa kupata credit tatu, je ni kweli? na kuna shida gani endapo ukisajiliwa as private canditades? Kitu gani unakosa endapo ukisaliwa private candidate ambacho school candidates anapata?