Je, hutumika kipimo gani kutambua hali ya kiuchumi ya mwananchi mmoja mmoja katika taifa?

Je, hutumika kipimo gani kutambua hali ya kiuchumi ya mwananchi mmoja mmoja katika taifa?

Uwesutanzania

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2019
Posts
1,380
Reaction score
1,686
Pita pita zangu katika mitandao nimeona mivutano ya hapa na pale mivutano hiko hivi:-

  • A) wananchi wa Rwanda wanamaisha magumu kuliko wa Tanzania B)hapana wananchi wa Tanzania ndio wako na uchumi mgumu zaidi kuliko Rwanda
  • A) Kenya ndio mambo safi zaidi, kwanza pesa yao iko juu na inathamani kubwa kuliko Pesa ya Tanzania na pia kenya ilishaamka kimaendeleo zamani sana. B) Acha ujinga wewe, kenya ipi unayoiongelea? Kenya maandamano kila siku? Si tumeona juzi tu mkigombea ugali?
  • A) South Afrika ndio mambo poa sana siku na imekucha sana. Hata wananchi wake wako na uchumi mzuri. B) kweli usilolijua ni sawa na usiku wa kiza. South hali ngumu watu kikubwa south unaona imeendelea pale mjini tu lakini ukija vijijini hali ni kuliko Tanzania au kenya.

Maada yangu sasa.

Ukiangalia hali ngumu na watu maskini ni kila nchi wapo.

Yaani omba omba na walala nje hakuna mahali wanakosekana.

Je tutumie kipimo gani ili kumtambua mwenye nafuu.
 
Maisha ya mwananchi ktk nchi husika huwa yana be prepared by gvt,How?

Selikari ya nchi husika ina wajibu wa kutoa social services kwa watu wake.

Sasa basi ili selikari itoe huduma bora kwa wananchi wake lazima iwe na pato la kutosha,ndo maana selikari ina lazmu kukopa sehemu nyingine ili kusudi ipate hela ya kukamilisha miradi husika.

Kwa iyo selikari ikifeli anae athirika ni mwananchi wake(umasikini unaanzia apo).
Pia pato la nchi(GDP) husika ndo linalo determine living standard ya watu wake,lkn kuwa na pato kubwa la nchi sio kuwa watu watakuwa na maisha mazuri wote lahasha.

Kipimo cha maisha mazuri ya watu ktk nchi husika,just look on per capita income (pato la mtu mmoja mmoja) and income inequality (gap la mwenye nacho na asie nacho)
 
Maisha ya mwananchi ktk nchi husika huwa yana be prepared by gvt,How?

Selikari ya nchi husika ina wajibu wa kutoa social services kwa watu wake.

Sasa basi ili selikari itoe huduma bora kwa wananchi wake lazima iwe na pato la kutosha,ndo maana selikari ina lazmu kukopa sehemu nyingine ili kusudi ipate hela ya kukamilisha miradi husika.

Kwa iyo selikari ikifeli anae athirika ni mwananchi wake(umasikini unaanzia apo).
Pia pato la nchi(GDP) husika ndo linalo determine living standard ya watu wake,lkn kuwa na pato kubwa la nchi sio kuwa watu watakuwa na maisha mazuri wote lahasha.

Kipimo cha maisha mazuri ya watu ktk nchi husika,just look on per capita income (pato la mtu mmoja mmoja) and income inequality (gap la mwenye nacho na asie nacho)
Sawa mkuu
 
Back
Top Bottom