Je huu mradi unaweza kunitoa kimasomaso?

Je huu mradi unaweza kunitoa kimasomaso?

Kig

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2012
Posts
1,076
Reaction score
458
Kwenye kijiji ninaoishi bei ya trei moja la mayai ni kati ya Tsh 6,000/= hadi 8000/= kutegemeana na msimu. Nimepata wazo nianzishe mradi wa kufuga kuku wa mayai (kuku wa kisasa). Mtaji wangu kiduchu/kidogo unatosha kuanza na kuku 600. Huduma ya vyakula vya kuku na dawa zinapatikana karibu na ninakoishi. Kuhusu mahali pa kufugia kuku, nategemea nibadili matumizi ya jengo ambalo ni jiko liwe banda kwa ajili ya kuku. Nawaombeni na kuwasihi sana mlio na uzoefu wa hii biashara tafadhalini mnipe ushauri kama itaweza kunitoa kimasomaso toka kwenye ukata wa kipato. Maisha magumu balaa!!!!!! Natanguliza shukrani kwa michango yenu ya mawazo. Asante.
 
kaka utakulipa sana,,we anza,ila usianze na kuku wengi,anza na kama 100 and then after 1 monthly ongeza 200 baada ya mwezi ongeza mia ,,then 200,,,,,,,watakulipa sana,,
 
Kig

Batch za 300 lay hens x 2 .... in an interval of 2 month

do not temper with feeding management ..... you must be involved personally and learn vet ..... try to get someone trustworthy and honest to work for you especially with the poultry feed and when the layers starts to drop eggs ... getting someone trustworthy and honest is the only thing that is hard and you should pray to God

be persistent for only 6 months and expect to start to excell slowly

after trays of eggs are in good distribution channel and you are sure the business is good .... think of an expansion plan ..... aquire your own land and get finance to construct good hen pens (chicken houses) for at least 2,000 hens

More over get a small premise at the most busiest and central market and open eggs wholesale point .... with your eggs at your farm then all layers farmers will also bring their eggs at your sales point at a margin price as this is a hot selling point

go go go brother
 
nami naona uanze na kuku angalau na kuku 300. Mimi nimeishaanza. Nao mia tatu. Huu ni mwezi wa tatu. Nafuga pia kuku wa nyama wa kisasa.
 
nami naona uanze na kuku angalau na kuku 300. Mimi nimeishaanza. Nao mia tatu. Huu ni mwezi wa tatu. Nafuga pia kuku wa nyama wa kisasa.

Mkuu unafugia wapi kuku ... tubadilishane mawazo katika thread hii ... itamsaidia pia Kig .... kuku nina broiler project ya 1,500 yenye batch tano za 300 after every 3 weeks difference ....

challenge kubwa ni kutunza kuku kufikia umri wa kuku wenye ubora unaoaminika kuwa kuku wanakuwa wamekomaa vizuri around six and more weeks ... soko ni kubwa sana .... pia kuna umuhimu wa ku-process kuku ..... slaughter facility na kufanya packaging
 
Kig

Batch za 300 lay hens x 2 .... in an interval of 2 month

do not temper with feeding management ..... you must be involved personally and learn vet ..... try to get someone trustworthy and honest to work for you especially with the poultry feed and when the layers starts to drop eggs ... getting someone trustworthy and honest is the only thing that is hard and you should pray to God

be persistent for only 6 months and expect to start to excell slowly

after trays of eggs are in good distribution channel and you are sure the business is good .... think of an expansion plan ..... aquire your own land and get finance to construct good hen pens (chicken houses) for at least 2,000 hens

More over get a small premise at the most busiest and central market and open eggs wholesale point .... with your eggs at your farm then all layers farmers will also bring their eggs at your sales point at a margin price as this is a hot selling point

go go go brother


Nashukuru kwa ushauri wako mzuri kuanzia kufuga na hatimaye kufanya biashara ya kuuza mayai.
 
Back
Top Bottom