Brojust
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 349
- 1,024
Salaam wakuu!
Bango hili lipo sehemu nimekutana nalo ni njia panda (Samahani nimezoom simu yangu haijatoa clear).
Naomba kuuliza swali, Je mmiliki wa hii sehemu pendwa kwa ukanda wa vingunguti, gongo la mboto na viunga vyake, na sehemu nyingine ambapo mimi sijafika.
1. Amefanya ubunifu ili matangazo yake yafikiwe na watu wengi?
2. Ameprove wrong kwamba ukiwa na hela kila kitu kinawezekana?
3. Amedharau taasisi hiyo inayomiliki hizo nguzo na kumtuma kijana kwenda kuweka bingo hilo mahali pale huku akijua ni kinyume na sheria?
NB; Asitokee mtu akasema labda namuonea vivu sababu na mimi namiliki sehemu kama hiyo, Hapana, sijawahi kumiliki ila nimeangalia na nimewaza sana aliwaza nini kuweka hilo bango hapo.
Labda wenzangu mna mawazo mengine.
Karibuni sana.
Bango hili lipo sehemu nimekutana nalo ni njia panda (Samahani nimezoom simu yangu haijatoa clear).
Naomba kuuliza swali, Je mmiliki wa hii sehemu pendwa kwa ukanda wa vingunguti, gongo la mboto na viunga vyake, na sehemu nyingine ambapo mimi sijafika.
1. Amefanya ubunifu ili matangazo yake yafikiwe na watu wengi?
2. Ameprove wrong kwamba ukiwa na hela kila kitu kinawezekana?
3. Amedharau taasisi hiyo inayomiliki hizo nguzo na kumtuma kijana kwenda kuweka bingo hilo mahali pale huku akijua ni kinyume na sheria?
NB; Asitokee mtu akasema labda namuonea vivu sababu na mimi namiliki sehemu kama hiyo, Hapana, sijawahi kumiliki ila nimeangalia na nimewaza sana aliwaza nini kuweka hilo bango hapo.
Labda wenzangu mna mawazo mengine.
Karibuni sana.