je huu ni ugoni?

clemencemlai

Member
Joined
May 3, 2010
Posts
24
Reaction score
2
mwanamke tulifunga ndoa nae kiserikali anadai talaka kila kukicha ,anatoroka hatimaye ,baada ya mwaka unagundua anaishi na mwanaume mwimngine maeneo fulani na wanataka funga ndoa nyuma aliacha mtoto 1.je naweza kumfungulia mashitaka mwanamke au huyo mwanaume na kwa utaratibu upi?
 
Mtu yeyote akitaka ndoa ya serikali jua kabisa hayuko commited kwako
 
Muone Kiongozi wako wa kididni .Muone na Mwanasheria/wakili kama huna uwezo waoine humani right wanatoa msaada wa kisheria bure . je mulishirikisha wazazi/ pia waone
 

Suala la kufunga ndoa ya kiserikali ni moja, lakini hapa kuna shida kubwa zaidi, ambayo ni huyo mwanamke kudai talaka kila kukicha...!..
Huoni hapa kama wewe una tatizo hapo ndani?...

Unamfanya nini mtoto wa watu hadi aishie kudai talaka kila kukicha?..

Hata ukishitaki, madai yako nini?...

Arudi nyumbani au?...

Angalia na kushughulikia shida iliyopo kwenye mahusiano yenu ya ki'matrimonial kwanza kabla ya kumshitaki huyo mama, usikute amekimbia kuokoa maisha yake!...huh!
 

Sheria yetu ya Ndoa ya mwaka 1971,inaitambua ndoa ya kiserikali kama doa halali.Hata hivyo si wewe binafsi au kiongozi wa dini mwenye uwezo wa kutoa talaka.Ni mahakama tu ambayo ni taasisi yenye kuvunja ndoa.Pia sheria ya ndoa inasisitiza uwepo wa sabau za msingi zenye kudhibitishwa na mwomba talaka ili kufikia hatua ya kuvunja ndoa.Kwakuwa sababu kubwa hapa ni ugoni,huo ni ushahidi ambo mahakama yaweza kuridhika na kuivunja ndoa.Kuhusu kumshtaki mwanmke au mwanume.Unazo njia mbili.Kwanza waweza kufungua shauri la madai ukimdai fidia huyo mwanaume kwa kutembea na mke wako.Pili waweza kufungua shuri mahakamani ukiomba mahakama ivunje ndoa.Lakini lazimakwanza ufuate hatua za awali kama sheria inavyoelekeza.Au pia hilo shauri la kuvunja ndoa waweza kuliunganisha na shauri la madai kwa mwanaume,yaani kuwashtaki wote kwa pamoja.Pole sana.
 

Very educative and well explained. Kwa maaana hiyo ndoa zooote ambazo wanandoa wamepatiana ambazo hazikupita mahakamani ni BATILI
 
talaka ukipewa na kiongozi wa dini lazima ukaisajili au ukapewe nyengine serikalini (niseme).....
 
Mtu yeyote akitaka ndoa ya serikali jua kabisa hayuko commited kwako 1+1=11 kama ukitoa ufafanuzi zaidi ya ulichoandika hapo itaoa maelekezo ja jinsi mtu husika annavyo weza kuchukua tahadhari ya ain ipi ya ndoa ndio inayopaswa kufuatwa na kuondoa mashaka . pia eleza kwa takwimu aina zipi za ndoa zenye kiasi kidogo cha mitafaruku.
 
Suala la kufunga ndoa ya kiserikali ni moja, lakini hapa kuna shida kubwa zaidi, ambayo ni huyo mwanamke kudai talaka kila kukicha...!..
Huoni hapa kama wewe una tatizo hapo ndani?...

Unamfanya nini mtoto wa watu hadi aishie kudai talaka kila kukicha?..

Hata ukishitaki, madai yako nini?...

Arudi nyumbani au?...

Angalia na kushughulikia shida iliyopo kwenye mahusiano yenu ya ki'matrimonial kwanza kabla ya kumshitaki huyo mama, usikute amekimbia kuokoa maisha yake!...huh! -------- WATOLEE MAELEZO WASOMAJI ILI WAELEWE BADALA YA KUBAHATISHA MAJIBU YA MASWALI YAKO
 

ambazo hazifungiwi nira na lesseni ya ndoa, yaani zile zinazofungwa na LOVE between the two parties.
 
ndoa zinazo funganishwa na love?? uchocholoni pakutorokea hoja. owa eh. what s love ? in the sense of cause and effect analysis, of all tempt to discuss all about the said love have not yet reached conclusion until to date .stick to the statement of the problem then
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…