Mtindio:
1) Jibu swali - "Huu ni Ukweli Kuhusu Rais Ahmedinejad wa Iran?"
2) Baada ya hapo, tuongezee hayo unayoyadai kama unazo data au picha zake. Usisahau kutuwekea 'Source' - Nsololi katupa ni FoxNewsTV (USA)
3) Hali mbaya ya wananchi hata Marekani ni hivyo hivyo. Uliziona picha na mambo ya kusikitisha wakati wa Katrina? Hadi leo baadhi ya "wapiga-miyao" bado hawajapata maskani ya kuishi ambapo Bush ndio anapeta na mabilioni ya dola za kustaafu na kuiacha dunia inalalama na eti 'greatest depression'!!
4) Kwa wale tuliopita Iran na kumwona MAN (Mahmoud Ahmad Nejad) ana kwa ana, hizo picha zimechapishwa chache tu katika maajabu anayoonyesha kwa kuishi maisha ya mtu (MAN) wa kawaida! Lakini Mtindio hawezi kuyasoma au kuyasikia hayo kwani yeye wakweli ni bbc, cnn, voa au dw..
5) Tunamwombea Mungu ailinde nchi yake asishambuliwe kwa kuendeleza nuclear technology ambayo Wayahudi tayari wanayo lakini hawashutumiwi ..
Kweli kazi ipo - double standards everywhere!