Huo ndo ukweliDah hii nayo ni maybe
Rubii upo?Nimelike!
Hehee heheee hoooiiiiii....ngoja sasa nikwambie kujua mapenzi inategemea na mtu mwenyewe halaf kujua mapenzi haina wembamba wala mnene unaweza kukutana na kibonge akakupelekesha mpk ukashangaa sema wembamba uzuri mnasemaga n wepesi ata kubebeka rahisi ila kuna wembamba wengine ni moto hapo kazi kwako acha kuchagua chagua na wanene waende wapi
[emoji15] [emoji15] [emoji15]Wanawake wembamba ni wazuri zaidi ...ktk uwanja wa 6/6 wanene wengi ni wazembe afu wanakuaga na harufu za ajabu ajabu + mikunjamano ya minyama yan hata hawavutii kabisa
Ni Jambo Jema......Njoo kanda ya ziwa tule sangara na sato[emoji4]Nipo Mkuu kwa marefu na mapana
Ni Jambo Jema......Njoo kanda ya ziwa tule sangara na sato[emoji4]
Ngoja waje wenye wapenzi wembamba