Je, huu ni upungufu/ukosefu wa nguvu za kiume?

-punguza hofu na pia jiamini kuwa unaweza kufanikisha hilo tendo (waswasi)
-epuka kutumia madawa ya kuongeza nguvu maana yatakuua kabisa
-hakikisha huyo unayekuwa naye ni mkeo kwani kama si mkeo hiyo huchangia saana.
 
Hello kaka,tatizo lako linaweza kuwa limesababishwa na mambo kama stress.etc.jitahidi sana kutokua na msongo wa mawazo.PM me,nitakutumia namba yangu unipigie,kuna maswali nitakuuliza,yatapelekea kusuluhishwa kwa tatizo lako.
 
Vipi unadeleaje...
 

What!we wakishua vipi unakuwaje mwanangu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…