Ndugu zangu kuna vitabia flan flan vinakera,mwenye navyo aviache.Mfano:
1. Wenzio wanakula wewe unapenga kamasi
2. Mko internet cafe wewe unaongea na simu kwa lisauti likuuuuubwa,inakera jamani
3.Kujishaua,mara oh juzi nilivyokuwa Dubai,mara oh blackberry yangu bomba,kakuuliza nani?
4.Kutegea bill bar,raundi yako ikifika unakwenda chooni
5. Kuazima kitu cha mtu usirudishe
Last but most important kinamama ambao baada ya kuliwa mzigo unamwacha mzee akanawe mwenyewe bafuni badala ya kutenga mapema maji vuguvugu kwenye beseni na sabuni ili mkimaliza umsafishe mzee kwa mapenzi huku unamshukuru kwa kukupa mahanjam.
mi tabia znazonikera ni izi;
1.kujichokonoa puani mbele za watu
2.kutafuna chwaa chwaaa km mbuzi yaani ukiwa unakula mpaka jiran anajua yes jiran anatafuna sasa
3.kuingiza kidole mdomon na kuanza kuchokonoa meno mezani wakat wenzako wanakula...domo umelipanua unaingiza kidole kwenye magego ....
4.kunywa chai pyuuuuuuuuu km unapiga mluzi ..sasa apo ombea usimkute anakunywa uji utakimbia manake ni puuu ahh sjui wanavutaje..
5.wanaume wanaotongoza kishamba..nina makontena 7 bandarini...ahh yule jamaa nimemkopesha milion zangu anirudishii..ahh lile hammar langu....yaan nguo mimi sinunui natoa oda tu thailand..ahh bila mimi yule sasa izi angekuwa kijijin..mimi nina akili sana nimeinua sana kampuni ile....
6.nachukia mtu kujifanya much know sana yaani kila kitu anakijua ..kila kitu anataka akitolee mwongozo ata aina za ped wakat yeye mwanaume ..yaaan kila kitu anajua
7.nachukia wadada wanaojifanya wazuriiiiii..kumbe ukimcheki ni bint remy ongala
soon after kuduu hamna anayekujali iwe mke/mumeNdugu zangu kuna vitabia flan flan vinakera,mwenye navyo aviache.Mfano:
1. Wenzio wanakula wewe unapenga kamasi
2. Mko internet cafe wewe unaongea na simu kwa lisauti likuuuuubwa,inakera jamani
3.Kujishaua,mara oh juzi nilivyokuwa Dubai,mara oh blackberry yangu bomba,kakuuliza nani?
4.Kutegea bill bar,raundi yako ikifika unakwenda chooni
5. Kuazima kitu cha mtu usirudishe
Last but most important kinamama ambao baada ya kuliwa mzigo unamwacha mzee akanawe mwenyewe bafuni badala ya kutenga mapema maji vuguvugu kwenye beseni na sabuni ili mkimaliza umsafishe mzee kwa mapenzi huku unamshukuru kwa kukupa mahanjam.
mi tabia znazonikera ni izi;
1.kujichokonoa puani mbele za watu
2.kutafuna chwaa chwaaa km mbuzi yaani ukiwa unakula mpaka jiran anajua yes jiran anatafuna sasa
3.kuingiza kidole mdomon na kuanza kuchokonoa meno mezani wakat wenzako wanakula...domo umelipanua unaingiza kidole kwenye magego ....
4.kunywa chai pyuuuuuuuuu km unapiga mluzi ..sasa apo ombea usimkute anakunywa uji utakimbia manake ni puuu ahh sjui wanavutaje..
5.wanaume wanaotongoza kishamba..nina makontena 7 bandarini...ahh yule jamaa nimemkopesha milion zangu anirudishii..ahh lile hammar langu....yaan nguo mimi sinunui natoa oda tu thailand..ahh bila mimi yule sasa izi angekuwa kijijin..mimi nina akili sana nimeinua sana kampuni ile....
6.nachukia mtu kujifanya much know sana yaani kila kitu anakijua ..kila kitu anataka akitolee mwongozo ata aina za ped wakat yeye mwanaume ..yaaan kila kitu anajua
7.nachukia wadada wanaojifanya wazuriiiiii..kumbe ukimcheki ni bint remy ongala
we Rose we,kicheni pati ulifundishwa nini? na kwenye unyago je nyakanga wako alikwambia nini,au ndio nyie wa yes yes kindergarten masaki?[/COLOR]
du kumbe ni jukumu la kinamama pekee?
ivi kufanyiwwa mahaba ni jukumu la kinamama tu kwakina baba?
wanawake wao hawataki kufanyiwa mahaba?
umshukuru yeye kwa kukupa mahanjamu..yeye hastahili kukushukuru?
au siyo wewe unamshukuru na yeye anakushukuru?ni mwanamke tu amshukuru mwanaume ?....pengne ata na kbamia chake?duhh i kali
wanawake hapo ndo huwa mnanimaliza kabisa,mnapenda ligi, kushindana weeeee utadhani mko mbio za marathon,kwa nini msiwe cool kama sisi,uwe mnene,uwe mwembamba,uwe mrefu,uwe mfupi,uwe na sura ya The Finest,uwe na sura ya Remmy Ongara,pochi lako tu,anytime ukitaka mzigo unavuta tu.mi tabia znazonikera ni izi;
1.kujichokonoa puani mbele za watu
2.kutafuna chwaa chwaaa km mbuzi yaani ukiwa unakula mpaka jiran anajua yes jiran anatafuna sasa
3.kuingiza kidole mdomon na kuanza kuchokonoa meno mezani wakat wenzako wanakula...domo umelipanua unaingiza kidole kwenye magego ....
4.kunywa chai pyuuuuuuuuu km unapiga mluzi ..sasa apo ombea usimkute anakunywa uji utakimbia manake ni puuu ahh sjui wanavutaje..
5.wanaume wanaotongoza kishamba..nina makontena 7 bandarini...ahh yule jamaa nimemkopesha milion zangu anirudishii..ahh lile hammar langu....yaan nguo mimi sinunui natoa oda tu thailand..ahh bila mimi yule sasa izi angekuwa kijijin..mimi nina akili sana nimeinua sana kampuni ile....
6.nachukia mtu kujifanya much know sana yaani kila kitu anakijua ..kila kitu anataka akitolee mwongozo ata aina za ped wakat yeye mwanaume ..yaaan kila kitu anajua
7.nachukia wadada wanaojifanya wazuriiiiii..kumbe ukimcheki ni bint remy ongala
Temea mate chini Merytina,haiendi hivo hata siku moja,acha uzungu bana,kumsopsop mzee na maneno matamu baada ya kujikunja na kukufikisha muhimu sana,uliza mama yeyote mtu mzima atakwambia.Kumbuka kumfikisha mwanamke kileleni si kazi ndogo,yahitaji ujuzi,uzoefu,subira na utaalam wa hali ya juu,appreciation muhimu ili siku nyingine ajitahidi zaidi orgasm ziongezeke.soon after kuduu hamna anayekujali iwe mke/mume
Mhmmm umalili kulongela goha kamwali kusi ne cha kulongela! usengwili sana
mi tabia znazonikera ni izi;
1.kujichokonoa puani mbele za watu
2.kutafuna chwaa chwaaa km mbuzi yaani ukiwa unakula mpaka jiran anajua yes jiran anatafuna sasa
3.kuingiza kidole mdomon na kuanza kuchokonoa meno mezani wakat wenzako wanakula...domo umelipanua unaingiza kidole kwenye magego ....
4.kunywa chai pyuuuuuuuuu km unapiga mluzi ..sasa apo ombea usimkute anakunywa uji utakimbia manake ni puuu ahh sjui wanavutaje..
5.wanaume wanaotongoza kishamba..nina makontena 7 bandarini...ahh yule jamaa nimemkopesha milion zangu anirudishii..ahh lile hammar langu....yaan nguo mimi sinunui natoa oda tu thailand..ahh bila mimi yule sasa izi angekuwa kijijin..mimi nina akili sana nimeinua sana kampuni ile....
6.nachukia mtu kujifanya much know sana yaani kila kitu anakijua ..kila kitu anataka akitolee mwongozo ata aina za ped wakat yeye mwanaume ..yaaan kila kitu anajua
7.nachukia wadada wanaojifanya wazuriiiiii..kumbe ukimcheki ni bint remy ongala
wanawake hapo ndo huwa mnanimaliza kabisa,mnapenda ligi, kushindana weeeee utadhani mko mbio za marathon,kwa nini msiwe cool kama sisi,uwe mnene,uwe mwembamba,uwe mrefu,uwe mfupi,uwe na sura ya The Finest,uwe na sura ya Remmy Ongara,pochi lako tu,anytime ukitaka mzigo unavuta tu.
Ndugu zangu kuna vitabia flan flan vinakera,mwenye navyo aviache.Mfano:
1. Wenzio wanakula wewe unapenga kamasi
2. Mko internet cafe wewe unaongea na simu kwa lisauti likuuuuubwa,inakera jamani
3.Kujishaua,mara oh juzi nilivyokuwa Dubai,mara oh blackberry yangu bomba,kakuuliza nani?
4.Kutegea bill bar,raundi yako ikifika unakwenda chooni
5. Kuazima kitu cha mtu usirudishe
Last but most important kinamama ambao baada ya kuliwa mzigo unamwacha mzee akanawe mwenyewe bafuni badala ya kutenga mapema maji vuguvugu kwenye beseni na sabuni ili mkimaliza umsafishe mzee kwa mapenzi huku unamshukuru kwa kukupa mahanjam.