HHAHAHA Rose,kumbe mkali weye! nifundishe basi kiswahili fasaha,mmeo anakufanya nini?lugha chafu..kuliwa mzigo du
sasa km yeye ndo alikuwa anakula sa kuna aja gan niende nikmnawishe?
asi aende mwenyewe jaman..
lugha yako au nia yako ni kudhalilisha?
lile tendo linainvolve participation ya mke na mume sa kusema ..UNAMLA MZIGO ..as if ye alkaa tu km sahan si sahihi...
usiwe na dharau kiivo wewe wakat ukinyimwa unalia km mtoto wa paka
ahh hauntishi babuwewe..mwanaume gan wewe auniogesh afta work....kwenda zako uko!!!!
siku zako zshamalizika u just wait for kiama!!!!!
tatizo lako mi nshakwambia toka zamani,
usinifute kwa kutumia hizo sijui mnaita wipes, sijui nini vile.....
wewe tumia tu hiyo c.h.u.p.i yako, mimi inatosha,
lakini wewe hutaki lol....
why?
nimemtenda day n night nw kabak tu sharubu zimemsmama kama kambale yatima!!!!
HHAHAHA Rose,kumbe mkali weye! nifundishe basi kiswahili fasaha,mmeo anakufanya nini?
poa basi ntakuwa nakufuta na jeans basi...
nimemtenda day n night nw kabak tu sharubu zimemsmama kama kambale yatima!!!!
ina maana mimi ndio next viktim? a.k.a future kambale yatima? khaaa! mie naona bora ile ndoto uikensel tu.poa basi fanya utume manake ndo naota apa...iwe mwekundu basi japo niweze kukubp ukituma buku5 staweza ata kubip sawa klolokwn...?
naomba nusu kaput bas...
maji baridi? mmmhhh kwa nini? ndo nasikia leo. Sasa baba E ina maana kasoseji kangu kashakufa basi maana miaka nenda rudi kanasafishwa hivo.Kuliwa mzigo ina-sound kikatili vile!
BTW : Unatakiwa kunawa kwa MAJI YA BARIDI baada ya kula mzigo na siyo moto au vugu vugu - Huo ni ushauri wa Wataalamu
wewe jisifu tu mbele ya kadamnasi,
wallah, utanitambua!!!!!!
labda kama mimi sio bacha!!!!![/QUOTE]
wewe ni PANCHA c bacha.
unalo?
Khaaaa!
ina maana mimi ndio next viktim? a.k.a future kambale yatima? khaaa! mie naona bora ile ndoto uikensel tu.
taratibu lakini usinitoe ngozi!!!!
vimeundwa hivi dia!!!!!!!!
Rose1980 umeona haya mambo?Last but most important kinamama ambao baada ya kuliwa mzigo unamwacha mzee akanawe mwenyewe bafuni badala ya kutenga mapema maji vuguvugu kwenye beseni na sabuni ili mkimaliza umsafishe mzee kwa mapenzi huku unamshukuru kwa kukupa mahanjam.
hapo umenkumbsha nilikwenda kwenye kitchen party mtoa mada alisema mwiko uliosongea ugali haulowekwi mwanamke shurti uoshe ndipo uendele na mambo mengine 😛ound:
wewe jisifu tu mbele ya kadamnasi,
wallah, utanitambua!!!!!!
labda kama mimi sio bacha!!!!![/QUOTE]
wewe ni PANCHA c bacha.
unalo?
uzuri nafahamu wapi pa kukukamata,
na najua hutatoka mpaka ukatambike mizimu ya kwenu!
kazi unayo leo!!!!!!
usijali au chagua mwenyewe niwe nakufuta na
kisu au mundu?
shda asi kufutwa tu jaman...
hakyanani siji! dah! kambale yatima? dah! inauma sana aisee.mbona unakuwa kunguru wewe?
kuwa mchwa bwana.
wewe njoo tu ndoton mintakuota na ole wako nsikuone kwenye eneo la tukio!!!
mila na desturi Rose.By the way we si ulikubali yaishe, nikafurahi na kukuchum,sasambona unagangamala tena?
ngono ina majina mengi bana,lipi we unapenda kutumia kuto....,kuti.....,kupigwa,kugongwa,kuwashwa,kulambwa,kuchakachuliwa,kumegwa,kubinywa...........sema mwenyewe term gani inakupendezesha? au kufanya tendo la ndoa? au kukutana? sema tu maana tendo ni lile lile...in....out...in....out.Wewe una hatari sana yani bado Sinza hujaachana nako, sasa na-Copy & paste hiyo maneno yako kwa wifi unless kama ulienda nae🙂)
Hiyo Guest nayo inajua kuvutia wateja, basi arsenal japo wanatuchukia watavaa Maure jezi ili mradi wapate punguzo..teh teh
Asante, raha ya ushindi mpaka leo chereko..bado Barca!!
Halafu Bishanga, umenichanganya wewe...yani kumbe mnatula mzigo eeh? mmh! mbona hamuumalizigi mkiula?
hakyanani siji! dah! kambale yatima? dah! inauma sana aisee.