Je huu ni uungwana?

hakyanani siji! dah! kambale yatima? dah! inauma sana aisee.

unajua klorokwin,
kuku wako siku zote sio wa kumshikia manati!!!!!!,
leo hii ndo anajua kama mimi ni kambale yatima?
sasa leo atakutana na kambale mseja!!!!!!!
 
 
ahh hauntishi babuwewe..mwanaume gan wewe auniogesh afta work....kwenda zako uko!!!!

siku zako zshamalizika u just wait for kiama!!!!!
Du! Pole Bacha,wahaya wanasema 'walweshombela'!
 

unajua klorokwin,
kuku wako siku zote sio wa kumshikia manati!!!!!!,
leo hii ndo anajua kama mimi ni kambale yatima?
sasa leo atakutana na kambale mseja!!!!!!!
heheh mbarikiwe sana.

sasa wakuu inabidi nilog out. Nina press conference la kuzungumzia "umuhimu wa kuvaa kufuli kwenye nyumba za ibada"

mbarikiwe nyote.
 
unajua klorokwin,
kuku wako siku zote sio wa kumshikia manati!!!!!!,
leo hii ndo anajua kama mimi ni kambale yatima?
sasa leo atakutana na kambale mseja!!!!!!!



we wadanganye tu wenzio
omba kabsa rambirambi cz ur gone today...awwatakuona teeeeeeeeeena...
 
we wadanganye tu wenzio
omba kabsa rambirambi cz ur gone today...awwatakuona teeeeeeeeeena...

haya nenda kale kiporo kabisa,
usije ukasingizia njaa,
nakujua wewe hukosagi sababu lol...
 
Hapo kwenye red mkuu umeongea ukweli. hii tabia ipo sana...na watu kama hawa ni maneno mengi sana....blah blah tuu mingi ili kupotezea wengine waendelee kuagiza tuu round. thanks for reminder. inakera sana. Ila hapo kwenye Buluu..umenifurahisha sana....ngoja akina mama nao wajitetee...kwann wanakwepa jukumu hili muhimu.
 


Hiyo namba tano imetulia sana. Yaani kuna wanaume wenzetu unakaa naye baa akianza hizo za hivyo unaanza kuoana aibu kwa niaba yake!
 
heheheeh BJ bana! hongera kwa kubeba EPL. Halaf juzi nilienda gesti moja maeneo ya sinza nikaona inaitwa Old Trafford khaa! ukivaa jezi ya Manu unapunguziwa bei ya chumba.

Nielekeze ilipo hiyo gesti klorokwini, ili nikapate hiyo hati punguzo! Tehetehtehtehehe!
 

Nyie wanaume mnawafikisha wake zenu? acha uongo, mimi ni mwanamke na sikumbuki ni lini nimewahi kufikishwa
 
Nyie wanaume mnawafikisha wake zenu? acha uongo, mimi ni mwanamke na sikumbuki ni lini nimewahi kufikishwa
ongea taratibu mama wenzio wasije wakasikia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…