Je Huu ni uzalendo??????

Je Huu ni uzalendo??????

autorun255

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2013
Posts
1,105
Reaction score
364
TBC1 Kukatisha matangazo kutola bungeni, chakushangaza wameweka miziki hivi hilo ndo shirika la taifa la utangazajiiii????


Start tv wamekuw wazalendo wanaonyesha hadi sasa .

Nyie tbc1 kudadeki zenu nn kinachapolekea hadi ninyi kukatisha matangazoo?!!!
 
Naomba moods mfikie mahali muanzishe sub forum ya bunge la katiba ili kupunguza hizi threads zisizo na kichwa wala miguu maana itafika mahali mbunge kalala member ataanzisha uzi wa kuomba ushauri....
 
Naomba moods mfikie mahali muanzishe sub forum ya bunge la katiba ili kupunguza hizi threads zisizo na kichwa wala miguu maana itafika mahali mbunge kalala member ataanzisha uzi wa kuomba ushauri....

hahahaha! Loh!
 
Naomba moods mfikie mahali muanzishe sub forum ya bunge la katiba ili kupunguza hizi threads zisizo na kichwa wala miguu maana itafika mahali mbunge kalala member ataanzisha uzi wa kuomba ushauri....


Ww horseshoe ....kwanza nianze na ww .....is dat a name???
Who named u horseshoe ..... a mule???.

Jf ni eneo la kueleza huru la kuleta mawazo ,kero na mijadala .

Sasa ww andika za kwako zenye miguu tuzione.
 
Ww horseshoe ....kwanza nianze na ww .....is dat a name???
Who named u horseshoe ..... a mule???.

Jf ni eneo la kueleza huru la kuleta mawazo ,kero na mijadala .

Sasa ww andika za kwako zenye miguu tuzione.

Karibu kwangu, sina mke kwa sasa! Jina langu lina concern nini hapa? I'm Horseshoe Arch, not Horseshoe unayojua ya Donkey.....
 
Lazima tujifunze kuwa wavumilivu. TBC1 siyo mtu ni mjumuiko wa mitambo, watu, kamera nk hivyo lolote laweza kutokea. Kumbuka akichokumbusha mbowe leo bungeni
 
Back
Top Bottom