Siri ya sifuri
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 2,335
- 1,967
Salaam wakuu.
Hii inakuaje!?
Pale unapounganishwa na huduma ya matangazo mtandaoni yenye malipo na ambayo hujaiomba,unakuta tu ujumbe umeingizwa kwenye Cm yako kwamba "umeunganishwa bure na huduma yetu kwa siku moja na baada ya hapo utatozwa shilingi 300 kwa siku.
Kujitoa piga namba 150.
Hivi ndivyo wabishi tunavyoendeshwa siku hizi,sasa basi angalau uuone na uusome huo ujumbe kisha wewe mwenyewe upuuzie kujitoa,lakini iwapo hujausoma na ukaufuta iwe kwa makusudi au kwa bahati mbaya, ndio tuseme utakuwa unatozwa hiyo pesa kila siku bila ya ridhaa yako na bila kujua!?
Wakuu wenye uelewa juu ya hii kadhia hebu tuelezeni namna inavyokuwa!.
Hii inakuaje!?
Pale unapounganishwa na huduma ya matangazo mtandaoni yenye malipo na ambayo hujaiomba,unakuta tu ujumbe umeingizwa kwenye Cm yako kwamba "umeunganishwa bure na huduma yetu kwa siku moja na baada ya hapo utatozwa shilingi 300 kwa siku.
Kujitoa piga namba 150.
Hivi ndivyo wabishi tunavyoendeshwa siku hizi,sasa basi angalau uuone na uusome huo ujumbe kisha wewe mwenyewe upuuzie kujitoa,lakini iwapo hujausoma na ukaufuta iwe kwa makusudi au kwa bahati mbaya, ndio tuseme utakuwa unatozwa hiyo pesa kila siku bila ya ridhaa yako na bila kujua!?
Wakuu wenye uelewa juu ya hii kadhia hebu tuelezeni namna inavyokuwa!.