GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
RC wa Mara (tena Kwetu kabisa GENTAMYCINE) ulitoa Ahadi ya Tsh Milioni 10 kwa Timu ya Biashara United FC kama wakiifunga Simba SC na hawakufanikiwa.
Mbunge wa Dodoma Mjini (CCM) Antony Mavunde hukuishia tu kutoa Ahadi ya Tsh Milioni 15 kama Dodoma Jiji FC wakishinda au Tsh Milioni 10 kama wakitoa Sare na Simba SC na hawakufanikiwa ambapo Walifungwa lakini pia uliwaambia Wachezaji wa Dodoma Jiji FC kwa Kutumwa na Yanga SC yako kuwa wahakikishe wanawaumiza Wachezaji Mahiri wa Simba SC ambapo kwa hili Walifanikiwa kwa 65% hivi.
Nimeona mahala kuwa Yanga SC inatakiwa Kulipa Faini ya Tsh Milioni 11 kwa Upumbavu wake mkubwa ilioufanya hasa katika CAF CL ilipocheza na Rivers United FC kutoka nchini Nigeria.
Je, huu siyo wakati Muafaka sasa wa akina RC Hapi na Mbunge Mavunde wakaitolea Yanga SC hiyo Faini ili kuonyesha Mapenzi yao kweli kwa Klabu yao na pia waweze Kutuonyesha Jeuri yao ya Pesa na waweze kupata Sifa zaidi kwa Mashabiki wao 'Oya Oya' wengi?
Mbunge wa Dodoma Mjini (CCM) Antony Mavunde hukuishia tu kutoa Ahadi ya Tsh Milioni 15 kama Dodoma Jiji FC wakishinda au Tsh Milioni 10 kama wakitoa Sare na Simba SC na hawakufanikiwa ambapo Walifungwa lakini pia uliwaambia Wachezaji wa Dodoma Jiji FC kwa Kutumwa na Yanga SC yako kuwa wahakikishe wanawaumiza Wachezaji Mahiri wa Simba SC ambapo kwa hili Walifanikiwa kwa 65% hivi.
Nimeona mahala kuwa Yanga SC inatakiwa Kulipa Faini ya Tsh Milioni 11 kwa Upumbavu wake mkubwa ilioufanya hasa katika CAF CL ilipocheza na Rivers United FC kutoka nchini Nigeria.
Je, huu siyo wakati Muafaka sasa wa akina RC Hapi na Mbunge Mavunde wakaitolea Yanga SC hiyo Faini ili kuonyesha Mapenzi yao kweli kwa Klabu yao na pia waweze Kutuonyesha Jeuri yao ya Pesa na waweze kupata Sifa zaidi kwa Mashabiki wao 'Oya Oya' wengi?