Je, huu siyo wakati muafaka wa zile Pesa za RC Hapi Tsh 10M na Mbunge Mavunde Tsh 15M za Kuiumiza Simba SC zikatumika kuilipia Faini Yanga SC CAF?

Simba haina haraka ya kurudi baada ya mechi huko tswana mana kanun za bodi ya ligi zinaruhusu mechi kuahirishwa
 
Mkuu k

Mkuu 5000 usd na yenyewe unahisi kwamba watashindwa kulipa.
Wanalipa tena mapema,pesa ya Karanga kabisa,hata mimi pamoja na uchumi mgumu huu ninao uwezo wa kutoa hiyo pesa ukileta dill faster hata benk siendi.

Uangalie na aibu kubwa mliolitia Taifa,swala siyo kulipa tu hiyo $5000.Btw wenye uwezo huo wa kutoa hiyo pesa binafsi wala hutowasikia wakiongea.Ukiona mtu anajisifia basi hizo ni kelele za debe tupu[emoji3][emoji3]
 
Uangalie na aibu kubwa mliolitia Taifa,swala siyo kulipa tu hiyo $5000.Btw wenye uwezo huo wa kutoa hiyo pesa binafsi wala hutowasikia wakiongea.Ukiona mtu anajisifia basi hizo ni kelele za debe tupu[emoji3][emoji3]
Jaribu uone, pesa ya kidogo sana hiyo,maana munafikiri kwamba itashindwa kulipa.
Unadhani Yanga ndo timu ya kwanza kupigwa faini,ushamba huo.
 
Faini ya milioni 11 hata bumbuli analipa.
 
Wewe Ni akili ndogo na akili ndogo haiwezi kuongoza akili kubwa.

Haya mtoto wa darasa la pili hawezi kukuelewa kwamba utaenda Botswana kwa basi.

Akili yako ndogo nyingine ni kwamba mkataba wa Simba na ATCL ni kwa domestic route tu. Duuh km hauko informed si ukae tu kimya.

Simba imeanza kusafiri leo kimataifa.

Note:hakuna utopolo au msukule wenye akili. Karibu
 
Kuanzia sasa nitawashangilia wapinzani wa Biashara United siku zote.
Hawa Biashara hawana shukrani hata kidogo.

Simba tumewabeba kimataifa.
Tunaenda kwao kucheza nao wanapanga njama za kutuumizia wachezaji wetu.
Badala ya kutandaza soka,
Na wala hawakutupigia makofi kama kama heshima kwa Bingwa mtetezi na kama tulio wapeleka kimataifa.

Mpira wangeucheza tu wa wazi hata wangetufunga sawa tu.

Lakini kitendo cha kula njama na kutuumizia wachezaji wetu muhimu ulikuwa ni Ugaidi.

Tayari wameshakuwa makuwadi wa Yanga fc.
Basi wawabebe wao Yanga mwakani.
Biashara walipaswa kutuheshimu Simba na kutupigia makofi kwenye mechi yao kwao.
Wachezaji wetu walipambana kwa jasho na damu hadi wao leo hii wanacheza katika levo za kimataifa, hao hao wachezaji wanaowaumiza wamewafikisha kwenye hatua ambayo kwa uwezo wao wasingefika.

Kwa ujira wa m15 tu wanauza utu wao. Hapo kila mchezaji sana sana angeambulia laki mbili.

Na kwa kiburi hicho hawafiki mbali, watawafuata mabwana zao Yanga walio watuma kutuumizia wachezaji wetu kwa ujira wa pesa Kichele.

Shenzi kabisa.
 
Naunga mkono hoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…