Je huyu Mchumba kweli ana nia ya kuolewa nami

Je huyu Mchumba kweli ana nia ya kuolewa nami

sambenet

Member
Joined
Mar 5, 2011
Posts
47
Reaction score
7
Kwa kweli ni mgeni kwenye safu hii ya JF, lakini naomba ushari.
Kuna msichana tulikubaliana kuoana, tumeshatambulishana na nimemchumbia tayari, kwa bahati nikapata safari ya ughaibuni hafla. tunawasiliana kwa sms au kumpigia mdamwengine. Tatizo nikimtumia sms za kuwa nampenda, namjali nafarijika kuwa nae lakini huwa hafurahii wala kunijibu kama na yeye ananipenda na badala yake hunitumia sms za kukatisha tamaa. lakini hajaniambia kuwa hanitaki. je nifanyeje?
 
Unataka akuambie expressly kuwa hakutaki?
 
Mkuu mnajuwa saa zingine na sisi wanaume tunakosea sana.....Kama unamuonyesha upendo na kumwambia maneno matamu kama hayo ila yeye hajibu then stop kusema hivyo kwa mda ongea nae kama dada yako alafu utakuja kuniambie mwenyewe........utaona tu amebadilika!!
 
vunja ukimya. zungumza nae kuhusu hayo madai yako umsikilize atasemaje.
 
Sasa na wewe acha kuwa unamtumia SMS ,mpigie simu za kawaida kumsalimia ..kama roho haijaanza kumuuma
 
Egyps unajua nini????????????

wanaume wengi wanaokwenda nje wakirudi hawawakumbuki wapenzi waooooooo!! wakifika huko wanajifanya matawi ya juuu ama kuchukua wazungu au kuzaa nao kabisaaaaa, ili aambiwe fulani kazaa na mzungu!! huu umekuwa mtihani mkubwa sana kwa wasichana!!

Nafikiri ndio ugonjwa unamsumbua girlfriend wako, hakuamini kama ukirudi utaendelea nae tena!!!

Jaribu kuongea nae kuhusu hilo! hembu mtie moyo atakuelewa!!
 
Kwa kweli ni mgeni kwenye safu hii ya JF, lakini naomba ushari.
Kuna msichana tulikubaliana kuoana, tumeshatambulishana na nimemchumbia tayari, kwa bahati nikapata safari ya ughaibuni hafla. tunawasiliana kwa sms au kumpigia mdamwengine. Tatizo nikimtumia sms za kuwa nampenda, namjali nafarijika kuwa nae lakini huwa hafurahii wala kunijibu kama na yeye ananipenda na badala yake hunitumia sms za kukatisha tamaa. lakini hajaniambia kuwa hanitaki. je nifanyeje?

Usisubiri kuambiwa hutakiwi mkaka, hiyo ni sign tosha kuwa hakutaki ila hawezi kukwambia na inategemea pia mmekaa kwenye uchumba kwa muda gani ndo mana inamuwia ngumu kusema..hizo ndo alama za nyakati,zisome uelewe.chukua uamuzi ulio bora kwako..goodluck
 
Wewe fanya hivi. Mchunie na wewe kama ka wiki kamoja tu uone kama katatimia bila kukutafuta.

Anakujaribu huyo na wewe unaanza kutetemeka hovyo. Chuna uone kama hajakutafuta hata simu atapiga
 
Mkuu mnajuwa saa zingine na sisi wanaume tunakosea sana.....Kama unamuonyesha upendo na kumwambia maneno matamu kama hayo ila yeye hajibu then stop kusema hivyo kwa mda ongea nae kama dada yako alafu utakuja kuniambie mwenyewe........utaona tu amebadilika!!

Well said mkuu. Wanaume na nyie saa nyingine mnakosea sana kubembeleza kupita kiasi
 
Jaribu kukata mawasiliano kwa muda, akikutafuta ujue bado anakupenda, akiuchuna nadhani utakuwa na jibu la uhakika.
 
vunja ukimya. zungumza nae kuhusu hayo madai yako umsikilize atasemaje.
uko sawa sana mkuu. Ni kumuuliza tu moja kwa moja uwe na uhakika. Kwa jinsi atakavyokujibu utapata picha tu hata kama hatakuambia moja kwa moja. Usimwogope sana kwa sababu ni mchumba wako na inabidi kuwa wazi sana.
 
Pole kaka!
Ushauri umeupata...lakaini mapenzi yana adha zake. Lazima utaumia na kujiwekea Possitive ya kupendwa...kama'akizidisha kukuumiza kwa kutokuridhisha/kukuonesha upendo. Ipo njia ya kufanya umsahau. Uni-PM.
Kama hujui utawauliza humu humu wakuelekeze jinsi ya ku-PM. Ol ze best!.
 
huo uchumba ni wenu au wa wazazi? I mean wazazi wenu ni ma-best friends?
 
mnajadili nin?
uchumba na ulaya ?
au mchumba na kutoonyesha mapenz?
 
yaaani kusoma hujui hata picha tu kwamba huyu ni mbuzi au punda,ndo ushaachwa hivo mkuu
 
Out of sight out of mind.Usichokion huwez kukifikilia Man km vip we sign out.Then kam ukirud utaanzish uhusian na lady mwingine!Km vp we jitoe 2 kwan Afande sele anasema hv katik Duribin kal.Mwanamke kam hatak usimbake kulazimish penz ni hatal saw na kulazimish fan kish mnalet utan!
 
Jamani mtaacha wangapi,hapo mtoto wakike anatingisha kiberiti kuhakikisha kama kimejaa,Mnakata tamaa kwa vitu vidogo anza kuongea nae kawaida bila kuweka maneno ya hisia baada ya muda ataanza yeye.
 
Back
Top Bottom