Je huyu Msanii naye atakamatwa kwa uchochezi?. Piga kichwani joka la kijani.

Je huyu Msanii naye atakamatwa kwa uchochezi?. Piga kichwani joka la kijani.

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Huwezi kuzuia mafuriko kwa mkono. CCM imefunga watu wengi kisa kukoslewa.

Anza na yule dawa wa chato, Ney wa mtegp, Sifa na sasa huyu hapa mwamba...

Je naye watamfunga?. Mabadiliko yanakuja COM kaeni mguu sawa.

 
Kwa mtindo huu itafika hatua tutashindwa kabisa kutafuta sababu chanzi za matatizo yanayotukabili.
 
Back
Top Bottom