Je huyu ni mrembo gani?

Je huyu ni mrembo gani?

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2009
Posts
5,471
Reaction score
752
29747_397132837187_563012187_3982770_7733054_n.jpg

29747_397093622187_563012187_3981829_1728072_n.jpg
 
mmmh..huyu ni nasreem miss tanzania...2008-2009
 
yoooh mawe wembamba mwingine sijui ni ugonjwa :whip:
 
Kuna skendo yake fulani si nzuri niliona kwa mbali kwenye gazeti ila sikulinunua maana ni la udaku. Wadau kuna mtu aliliona
 
ni Nasreem.....anatafuta tender za kutokea kwenye playboy magazine
 
Ha ha ha ahaaa!!!!! huo ni uchawi wa pesa uavyoitesa dunia tu , jamii jihadhirini mcje mkafuata tu
 
Mh... mi naona size ya kichwa chake haiendani na mwili wake, duh!
 
Wow , Nasreem kumbe unapendeza namna hii , hata sikukutambua hapa .... hot hot hooooot!
 
Back
Top Bottom