Je, ilikuwa ni sahihi Kupokea Madudu ya nchi kutoka kwa CAG jana wakati Usiku tunampokea Mgeni mkubwa Duniani?

Je, ilikuwa ni sahihi Kupokea Madudu ya nchi kutoka kwa CAG jana wakati Usiku tunampokea Mgeni mkubwa Duniani?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Au Tukio hilo (Ratiba ile) iliwekwa Kimkakati (Kimakusudi) ili Mgeni mkubwa Duniani akija ajue kuwa tunasimamia vyema Fedha zetu ili tumuombe nyingine nyingi au avutiwe tu hata Mwenyewe kutusaidia bila Masharti nasi tuendelee Kujenga Mahekalu yetu Mbweni, Madale, Mbezi Beach, Kawe Beach, Masaki, Mtwara, Arusha, Zanzibar na Chenji inayobakia nasi tukazitunze ama Switzerland au Malaysia?

Kwa niwajuavyo Wazungu (Akili Kubwa) tena hawa Viongozi huwa kabla ya kwenda nchi yoyote ile huifanyia Utafiti Kwanza na Kufuatilia yanayoendelea huko hivyo mpaka wakija huwa wanakuwa wameshajua kuwa wanafanya Ziara kwa Wapumbavu au Werevu halafu huwa ni Wazuri mno katika Kuwasanifu Wapumbavu wanaojifanya Wajanja na Werevu.
 
Ukiona ripoti ya CAG imefika kwa Mheshimiwa, ni kwamba imeshafanyiwa corrections yaani hao wahusika wameshaitwa kwa CAG mpaka CAG keshatuma watu wake huko kwenye ofisi husika.

Ni kwamba hata kilichosomwa ndo hivyo ila pia more and more huwezi hata kuyaweka hadharani.

Nina experience.

Kuhusu mgeni sidhani kama hiyo ni moja ya agenda zake za kutembelea nchi.

Marekani wanajua wanachohitaji kwetu, pengine hata Mheshimiwa hajui undani za hii ziara.
 
Ngoja tuone, hua hakuna hatua zozote...
Ukisha sikia mambo yamepelekwa kujadiliwa kwenye kamati kuu ya ccm kwa hatua zaidi ujue huo ndio mwisho wake!! Hakuna hatua yeyote itakayochukuliwa, believe you me! ccm ni Ukoo wa mchwa.
Samia akili yake yote iko 2025 na jinsi atakavyo survive, hivyo she is in no way prepared to jeorpadise her chances by taking drastic action against looters!!
 
Ukisha sikia mambo yamepelekwa kujadiliwa kwenye kamati kuu ya ccm kwa hatua zaidi ujue huo ndio mwisho wake!! Hakuna hatua yeyote itakayochukuliwa, believe you me! ccm ni Ukoo wa mchwa.
Samia akili yake yote iko 2025 na jinsi atakavyo survive, hivyo she is in no way prepared to jeorpadise her chances by taking drastic action against looters!!
Hakika... Ndiyo yashapita hayo...
 
Back
Top Bottom