GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Au Tukio hilo (Ratiba ile) iliwekwa Kimkakati (Kimakusudi) ili Mgeni mkubwa Duniani akija ajue kuwa tunasimamia vyema Fedha zetu ili tumuombe nyingine nyingi au avutiwe tu hata Mwenyewe kutusaidia bila Masharti nasi tuendelee Kujenga Mahekalu yetu Mbweni, Madale, Mbezi Beach, Kawe Beach, Masaki, Mtwara, Arusha, Zanzibar na Chenji inayobakia nasi tukazitunze ama Switzerland au Malaysia?
Kwa niwajuavyo Wazungu (Akili Kubwa) tena hawa Viongozi huwa kabla ya kwenda nchi yoyote ile huifanyia Utafiti Kwanza na Kufuatilia yanayoendelea huko hivyo mpaka wakija huwa wanakuwa wameshajua kuwa wanafanya Ziara kwa Wapumbavu au Werevu halafu huwa ni Wazuri mno katika Kuwasanifu Wapumbavu wanaojifanya Wajanja na Werevu.
Kwa niwajuavyo Wazungu (Akili Kubwa) tena hawa Viongozi huwa kabla ya kwenda nchi yoyote ile huifanyia Utafiti Kwanza na Kufuatilia yanayoendelea huko hivyo mpaka wakija huwa wanakuwa wameshajua kuwa wanafanya Ziara kwa Wapumbavu au Werevu halafu huwa ni Wazuri mno katika Kuwasanifu Wapumbavu wanaojifanya Wajanja na Werevu.