Je,Inakubalika?

DEMAKA

Member
Joined
Jun 13, 2011
Posts
7
Reaction score
0
Mi n mschana nashindwa kuamua coz kjn anayetaka 2we ktk mahusiano then kuwa mke na mme ananizidi miaka 10, je nifanyeje?
 
Inakubalika tofauti kama hiyo ya umri. Kama nawe una mapenzi ya kweli kwake basi hakuna tatizo. Kila la heri 🙂

 
Last edited by a moderator:
Inakubalika na nani?!Kwani huyo kijana anataka kukuoa wewe au hao walio kwenye kundi la ITAKUBALIKA?!Fanya unachotaka wewe kufanya...kama anakuvutia na umeridhika nae mpe nafasi...kama nafsi yako inasita kataa!
 
Inakubalika na nani?!Kwani huyo kijana anataka kukuoa wewe au hao walio kwenye kundi la ITAKUBALIKA?!Fanya unachotaka wewe kufanya...kama anakuvutia na umeridhika nae mpe nafasi...kama nafsi yako inasita kataa!
nakukubali kwa majib yako!
 
Umri siyo kigeo saaaaaaaaaaaaana kivile katika mapenzi,ila inabidi tuuangalie kwa ndoa,mwanaume kwa kawaida anatakiwa kumzidi mkewe kwa umri kwa kama miaka 3-10,hii inatokana na sababu za kibiologia,thus kwa mujubu wa maelezo sidhani kama kunatatizo lolote kuoana na mtu wako,just check other reasons
 
Unaogopa watu kukusema kuwa umeolewa na kijeba au huna mapenzi naye?
 
Miaka 10 sio issue hapo je wewe unampenda??
Na unauliza inakubalika na nani, wapi na lini???
Olewa kufata Moyo wako unavyokwambia sio kuanza kuangalia watu watasema nini
 
Inakubalika mpendwa huo ni umri wa kawaida wala sio kigezo kama kweli unampenda mnaweza endelea na mipango yenu
 
<font size="4"><strong><span style="color: rgb(0, 128, 0);">hali hii mbona inakubalika tu..!! tena ni ya kawaida hata lizzy anaikubali isipokuwa anataka kututoa kwenye mada.<br><br>mbona yeye lizzy alikubali...!! na sasa anaendelea vzr bila shida. Wewe mpe tu huyo jamaa yetu na mwisho wa siku mtaishia kuoana maana kila jambo zuri huanza na lililo baya.....!!!</span></strong></font>
 
Mi n mschana nashindwa kuamua coz kjn anayetaka 2we ktk mahusiano then kuwa mke na mme ananizidi miaka 10, je nifanyeje?

haiwezekani...... sikushauri kabisaaa.. hayo mambo dunia ya mababu zetu ndio yaliwezekana wasichana wa enzi hizo wealikua ni wavumilivu hata kama mzee kaanza shindwa piga mechi.... nyie siku hizi nasema hampo hiiivyooo.. utamtakia kijana wa watu stresses kwani utaanza penda vijana wenzako na utaishia chakachuliwa nje ya ndoa wakati mzee ananza kuchuja... Stop.. tena mwandikie msg saiv mwambie akome kukujua.. na apotee mbali na uzee wake.. sihitaji mni quote....wachangiaji..
 
unapo coment try to generalise nafikiri haupo sawa kabisa sababu kuna watu wamepishana hadi miaka kumi natano 15yrs still wapo hadi leo unatakiwa kujua kuwa mwanamke anazeeka haraka kuliko hata mwanaume.sasa kama mwanaumeana miaka 35 na mwana mke ana mika 25 tatizo liko wapi hapo??
 
inawezekana sana wewe binti, tulia utulizwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…