Je, inaruhusiwa kuwekeza kwenye biashara ya kufuga nguruwe?

Je, inaruhusiwa kuwekeza kwenye biashara ya kufuga nguruwe?

MWANAHARAKATI MWEMA

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2022
Posts
216
Reaction score
313
Naombeni umshauri wale ambao mnaifahamu kuhusu dini Mimi ni muislamu Jina kwa maana siswali Ila familia yetu ni waislam.

Katika kutafuta Biashara ya nyumbani hisiyo na usumbufu sana nikagundua NGURUWE wanafaa sasa ninaamini kwamba nikifuga nitatengwa au nitaonekana nimehasi dini.

Sasa mnisaidie wajuvi nifungue iyo au niachane nayo na nitafute mradi mwingine wenye mahusiano mazuri na dini.
 
Naombeni umshauri wale ambao mnaifahamu kuhusu dini Mimi ni muislamu Jina kwa maana siswali Ila familia yetu ni waislam.

Katika kutafuta Biashara ya nyumbani hisiyo na usumbufu sana nikagundua NGURUWE wanafaa sasa ninaamini kwamba nikifuga nitatengwa au nitaonekana nimehasi dini.

Sasa mnisaidie wajuvi nifungue iyo au niachane nayo na nitafute mradi mwingine wenye mahusiano mazuri na dini.
Ukishaona unataka kufanya jambo halafu moyo unasita na unataka watu wasilijue,dini inaelekeza jambo hilo uliache ni dhambi,utafute lile ambalo huna shaka nalo,

Sent from my TECNO CC7 using JamiiForums mobile app
 
Kwanza anza kusali kabla hujaanza biashara, Sala aitakuongoza
 
Back
Top Bottom