Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Dr. FN 201[emoji3]Mimi ninavofahamu ni condom moja kwa tendo moja inatosha kujikinga ukiitumia kwa usahihi, zingatia tu ,usivae condom ukiwa na makucha marefuu,,epuka kuiongezea kondom vilainishi vingine itapelekea kupasuka.Hivo yani
Mbili hazitosh afu pia condom haifai vaa rambo au gunia la kilo mia ujikinge mwl mzma